Najikuna sana, msaada tafadhali

jesca.com

Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
38
Reaction score
5
Habari wanajamvi! Yapata miezi 6 sasa toka nianze tokwa na vipele hospitalini, tube nyingi na sindano nimetumia bila afadhali. Kuna msamaria akanishauri nitumie dawa aina ya BBE, nilitumia ikanipa afadhali sanaa lakini sasa vimeanza tena.

Nimetumia tena BBE hakuna mafanikio yoyote mpaka sasa bado najikuna vipelee ni vidogo viko makwapani, mikononi, mgongoni, tumboni na sehemu mbalimbali za mwili.

Naombeni msaada hata kama kuna dawa za mitishamba, muhimu nipone.

Asanteni
 
Angalia mafuta ya kupikia unayotumia au km kuna kitu kigeni umeanza kutumia its can be allergy.
 
jesca.com

Nakubaliana na ushauri aliokupa Marapai hapo juu.

Jaribu kutumia hii bidhaa yetu: Bofya hapa.

Tatizo kama halijapungua au kwisha nenda hospitali.
 
Last edited by a moderator:
Marapai mafuta ya kupikia ni yale yale na pia mafuta ya kupaa sijabadirisha na vyakula ni vile vile nimewah pima arlergy nkaambiwa sina
 
Last edited by a moderator:
@ zainabu sawa nitajaribu kutumia bidhaa yako

wanajanvi bado nahitaji msaada wenu pia niambieni tiba mbalimbali niweze jaribu nateseka sanaa yani sikai nikatulia na kufanya mambo ya busara nakesha kujikuna tu
 
nashauri aende hospitali kwanza kabla ya kutumia hiyo bidhaa yenu, wabongo tusiangalie biashara kwanza, tuangalie maisha ya mtu kwanza

Kweli kaka hii yangu ni biashara lakini ukimsoma vizuri mleta mda amesema "yapata miezi 6 sasa toka nianze tokwa na vipele hospitalini tube nyingi na sindano nimetumia bila afadhari".

Kwa kuona hilo ndio nimetoa ushauri ajaribu hii bidhaa yangu kwani naona ameshahangaika sana hospitali na Aunt Zainab's Natural Super Clay imewasaidia wengi wenye muwasho wa mwilini.

Asante
Zainab
 
@ zainabu sawa nitajaribu kutumia bidhaa yako

wanajanvi bado nahitaji msaada wenu pia niambieni tiba mbalimbali niweze jaribu nateseka sanaa yani sikai nikatulia na kufanya mambo ya busara nakesha kujikuna tu

Pole sana, jaribu, ninahisi itakusaidia.
 
Pole sana kwa kujikuna ukikosa hapa dawa jukwaani nitafute mimi kwa wakati wako nitakupa dawa utaweza kupona ukinitaka mimi bonyeza hapa.Mawasiliano
 
Bado Hospital ni suluhisho! Usitumie madawa kinyume na Hospital

QUOTE=jesca.com;11884844]habari wanajanvi yapata miezi 6 sasa toka nianze tokwa na vipele hospitalini tube nyingi na sindano nimetumia bila afadhari kuna msamalia akanishauri nitumie dawa aina ya BBE nlitumia ikanipa afadhari sanaa lakini sasa vimeanza tena nimetumia tenaBBE hakuna mafanikio yoyote mpak sasa bado najikuna vipelee ni vidogoo viko makwapani mikononi mgongon tumboni sehem mbali mbali za mwili naombeni msaada hata kama kuna dawa za mitishamba muhim nipone.ASANTENI[/QUOTE]
 
Usitumie Bidhaa ya Zainabu bila ushauri wa Hospital

UOTE=Zainab Tamim;11884882]Pole sana, jaribu, ninahisi itakusaidia.[/QUOTE]
 
bado sijatimiza masharti ya 5 post sasa siruhusiwi PM naomba uni PM namba yako cm nkutafute huko.ASANTE
sawa dada mimi siwezi kukusaidia ndo maana nimemwita mkuu MziziMkavu na amekuja na nina imani atakupm muwasiliane, pole sana ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
Usitumie Bidhaa ya Zainabu bila ushauri wa Hospital

UOTE=Zainab Tamim;11884882]Pole sana, jaribu, ninahisi itakusaidia.
[/QUOTE]

Hujamsoma vizuri, anasema mwezi wa sita huu anahangaika na dawa za hospitali ""yapata miezi 6 sasa toka nianze tokwa na vipele hospitalini tube nyingi na sindano nimetumia bila afadhari".

Hata madaktari huwa wanajuwa kuhusu tiba mbadala.

Asante
Zainab
 
Ukiwa na tatizo la mfumo mbaya Wa damu hata upake nini utapona Kwa muda tu chakufanya tumia dawa za kutibu tatizo Kwa ndani then utakapopaka dawa itakupa uponyaji Wa moja. Kwa moja nasi kutuliza tatizo.
 
Naomba zingatia ushauri huu kwa sasa, Usile samaki na Mayai mpaka hapo utakapo pona. pia ningependa kujua unapatikana wapi?
 
jesca pole sana kwa tatizo linalokusumbua maana linafanana na langu na najua adha unayopata ya kujikuna maana inatia uchungu pole sana mpendwa jaribu kwenda hospitali kubwa au kwa madocta wa ngozi. mimi pia ni mwaka wa 4 sasa najikuna na vipele kuna mda linapungua na kuongezeka nimetembea hospital nyingi ikiwepo KCMC, Muhimbili tumaini, AICC lakini nimeishia kupewa tube na Cetrizine tuu ambazo huponya kwa muda then tatizo linaibuka tena. hospitali zote hizo sijawahi kuchukuliwa kipimo chochote ata kupimwa damu.
mitishamba ya wamasai nimekunywa hadi alovera pamoja na uchungu wake niliona ka juice kwa jinsi ninavyowashwa.

kwa ujumla sitaki kumkatisha tamaa mleta uzi kwani ajaribu nae kwenye hizo hospital anaweza kupona.

kuna mdau kasema kama tatizo lipo kwenye damu lisipopata tiba litapona kwa muda tuu mbona sasa mtu unaenda hospital two year unapews dawa hizo hizo
hilo tatizo la kwenye mfumo wa damu litagundulika vipi.

madoctor na wengine tusaidieni mahali ambapo tunaweza pata tiba sahihi ya magonjwa ya allegy
 
cool d asante naomba nsaidie kuniambia kama kuna dawa waijua kutibu ndani
@ sim sawa ntazingatia ushauri wako
@ siande sasa kwa muda huu ulitumia dawa gani mpaka hauwashwii na vipele
kwa alieuliza niko wapi natokea mbeya
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…