Najikuna sana, msaada tafadhali

Najikuna sana, msaada tafadhali

natanguliza shukrani zangu kwa Mungu pia wanajanvi wote kwa ushauri na msaada wenuu woooote asanteni lakini baada ya kuhangaika na tiba mbalimbali nkarudi hospitalini kuna dawaa nimepewaaa na maendeleo mazuri sanaa no kujikuna anymore nw maendeleo mazuriii....asanteni
 
Kuna ndugu yangu alisumbuliwa sanaaa kwa miaka miwili.
Alihangaika mno ila kumbe walikuwa minyoo na typhoid. Alipopewa dawa ya minyooo na sindano za typhoid tano akapona mpaka Leo Huwezi amini ni Yule aliyekuwa anajikuna na kupewa madawa kibao zikiwemo tube.

Rafk yangu nae alipatwa na tatizo kama hili alipofanya Hivi akapata kupona.
 
natanguliza shukrani zangu kwa Mungu pia wanajanvi wote kwa ushauri na msaada wenuu woooote asanteni lakini baada ya kuhangaika na tiba mbalimbali nkarudi hospitalini kuna dawaa nimepewaaa na maendeleo mazuri sanaa no kujikuna anymore nw maendeleo mazuriii....asanteni

wamekupa dawa gani mpendwa na sisi tunufaike
 
kuna tube ambayo wamenichanganyia kwenye mafut ya kupaka ya vasselin.ya mgando ambayo.ndiyo yatakuwa mafut yangu daimaa hskun tumia lotion wala nini na pia vidonge vya alleg kwa mwez 1 tu asanten
 
Back
Top Bottom