EDIGAR JO
JF-Expert Member
- May 6, 2024
- 422
- 444
Inawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa.
Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si mazuri.
Vitabu vitakatifu nasoma sana.
Sasa Nifanyaje niepukane nazo?
Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si mazuri.
Vitabu vitakatifu nasoma sana.
Sasa Nifanyaje niepukane nazo?