Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini hutaki kuwa na mchumba? Vitabu vitakatifu vinashauri kuwa mbali na uasherati/ ngono. Ila ikiwa unawakwa na tamaa, basi uwe na mwenza.Inawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa.
Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si mazuri.
Vitabu vitakatifu nasoma sana.
Sasa Nifanyaje niepukane nazo?
Hayo matendo ni yepiiInawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa.
Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si mazuri.
Vitabu vitakatifu nasoma sana.
Sasa Nifanyaje niepukane nazo?
Nakuwa napata hisia kali sana sanaKuteseka kwako Ina maana gani?
Unapata hisia Kali za kufanya ngono ndo unakoita kuteseka?
Unabidi kujipima na ujue nini unahitaji ili ufikie Ila waweza kuanza mazoezi ya meditation yatakusaidia kuondoa hiyo hali.
Puchu nda siiwazi hata kidogo kwakuwa nalisoma na ni ubinafsi na Yehova hapendezwi na hiyo tabia.Aache kuwaza mademu na kupiga puchu
AOE
Mimi pia nikisha wahi kuwa na changamoto Kama ya kwako .Inawezekana kuna mtu akawa na changamoto kama yangu hii hapa.
Unajitahidi kutokuwa na mchumba na unajilinda kutokufanya uasherati lakin muda mwingi nakuwa Natumia kufikiria matendo ambayo si mazuri.
Vitabu vitakatifu nasoma sana.
Sasa Nifanyaje niepukane nazo?
Nakuwa nahisia za kufanya mapenzi na nimejizui kwa musa sasa tangu kuzaliwa mpaka leo Sijawahi lakini nimeanza kulemewa.