Najipendekeza au niachane nae

Nadhani ni utoto tu ndo unakusumbua ukikua utaacha tu
 
Skiliza hii itakusaidia Mzee wangu.
 

Attachments

  • 17257936159591.mp4
    2 MB
Sasa we jamaa kuna uzi ulisema kwamba mabinti wanakukataaa wewe......

Cha msingi wakikukataa wakataeee katika maisha yako mkuu afu acha mapema kujipendekeza tupa kuleee hiyo ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Sasa we jamaa kuna uzi ulisema kwamba mabinti wanakukataaa wewe......

Cha msingi wakikukataa wakataeee katika maisha yako mkuu afu acha mapema kujipendekeza tupa kuleee hiyo ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Sijawahi kuanzisha uzi kuwa nakataliwa never hebu nioneshe huo uzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ