Najipendekeza au niachane nae

๐Ÿ˜‚ sasa wameachanaje na hajawai kuishi nae.

Bila shaka atakuwa under 20 huyu au kuna tatizo mahali.
Soma huu uzi wake labda utamuelewa๐Ÿคฃ

Hii ndio siri yangu ya mapenzi nimo JF kitambo ila nimeamua kuja kiufiche ili nipate kuwa huru

Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza... Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa
 
Mbugila kwer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ