Kama hujawai kumbandua ataendelea hivyo hivyo, ila nawe mzembe sana, mpo mkoa mmoja?Natamani niachane na kumfikira ila sasa siwez
We ni FALAMbaya zaidi sijawahi kumbandua ๐ฎโ๐จ
Ana uhakika hiyo kitu yake inafunction? Au iko tu hapo kama pambo
Kuhusu kubanduana utachagua mwenyewe, .. ushauri wangu...Msome na wa hapo chini
Mnanichanganya huyo juu kasema hivi wewe hivi
๐ sasa wameachanaje na hajawai kuishi nae.Ana uhakika hiyo kitu yake inafunction? Au iko tu hapo kama pambo
Sijawahi kuona, hadi nijionee, tukiachana na huyo wewe ni mpole. KataaJidanganye
Unadhani zile ban zake za asubuhi na jioni siku saba za wiki zinatokana na nini? ๐๐
Soma huu uzi wake labda utamuelewa๐คฃ๐ sasa wameachanaje na hajawai kuishi nae.
Bila shaka atakuwa under 20 huyu au kuna tatizo mahali.
Ndio nawajua wengi humuUlisema wewe ni wa kitambo ila hii id unatumia kupata ushauri?
100,000 ร4 = 400 000 Ticha๐คฃUchumi gani huo ambao umemzidi mara 4?
Ndio mkuuKama hujawai kumbandua ataendelea hivyo hivyo, ila nawe mzembe sana, mpo mkoa mmoja?
Ndio mkuuKama hujawai kumbandua ataendelea hivyo hivyo, ila nawe mzembe sana, mpo mkoa mmoja?
Mbugila kwerWakuu kunakipindi unafika unampenda mtu na mnaweka malengo ya kuwa pamoja kuna dada mmoja nilikutana nae na nilimpenda kweli tuliweka malengo mengi na tulipitia mengi pamoja ila tuliachana na tukarudiana na mengine mengi
Ni miaka na yule binti alipata maisha kabla yangu (uchumi) japo kwa sasa namzidi mara 4 ya kile anachopata ila still nampenda for real
Kusema kweli ni mtu ambaye hajali na ni kanakwamba najipendekeza kujichatisha nae coz hata motisha hana
Namjuliaga hali tu nakosa cha kusema lakini ni kwamba kama vile nahisi nahitaji kuwa nae je nikimwambia tena turudiane ni udhaifu au nijikaze tu kiume mambo mengine yaendelee
Marafiki wanasema achana nae, wengine acha tu utaonekana kujipendekeza ila mimi sasa najikutaga muamba ila nikikaa mwenyewe nammiss why
Njoo tutest sijawahi itumia ๐ฎโ๐จ๐ฎโ๐จAna uhakika hiyo kitu yake inafunction? Au iko tu hapo kama pambo
Kilichokuzuia usitest kwa hao madem zako ni niniNjoo tutest sijawahi itumia ๐ฎโ๐จ๐ฎโ๐จ
Wewe ndio mshamba_hachekwi ?Ndio nawajua wengi humu