Zombie Sikutaji Humu Eeh
JF-Expert Member
- Jul 2, 2024
- 228
- 667
- Thread starter
-
- #61
We dada punguza umbea jamani nini hiki kuaibishana 😮💨😅Soma huu uzi wake labda utamuelewa🤣
Hii ndio siri yangu ya mapenzi nimo JF kitambo ila nimeamua kuja kiufiche ili nipate kuwa huru
Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza... Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa
Eti ulishawahi kupigwa ban?Kuna muda malaika wa heri ananitembelea 😂😂😂
Sio kweli hesabu za kihuni hizo laki 4 nayo ni pesa100,000 ×4 = 400 000 Ticha🤣
Nyingi hazina idadi 😂😂😂Eti ulishawahi kupigwa ban?
Me nimempa tu reference best angu Half american sio kwa ubaya🤣We dada punguza umbea jamani nini hiki kuaibishana 😮💨😅
Humu jf stress ukiwa nazo utakua umejitakiaNjoo tutest sijawahi itumia 😮💨😮💨
Ninajua sasa 👐 hata sijuiKilichokuzuia usitest kwa hao madem zako ni nini
Daah qmmakMbaya zaidi sijawahi kumbandua 😮💨
Ukisema django donner Hapana, nyamwi ni kweli anaweza kuwa kidume, lakini pia sio, ila ana id zake kama 4 hivi zina nyamwi zote. Anasoma afyaHuyo nyamwi ni mwanaume trust me pls namjua aliwahi kujiita kipenseli pia ana id kama django doner
Wazo zuriKuhusu kubanduana utachagua mwenyewe, .. ushauri wangu...
1. Ukimwi upo
2. Ngono haina tuzo
3. Fanya kazi ukikua oa
4. Utazikwa peke yako
5. Penda watu wote
Sio kweli😂 sasa wameachanaje na hajawai kuishi nae.
Bila shaka atakuwa under 20 huyu au kuna tatizo mahali.
🤔Ninajua sasa 👐 hata sijui
Oya vp mzeeHumu jf stress ukiwa nazo utakua umejitakia
Hapana siwezi kuwa huyo mtoto wa mama mda wote online kama hana kazi za kufanyaWewe ndio mshamba_hachekwi ?
Sasa mbona unaload mda mrefu kama internet ya 2G?Wazo zuri
Sio kweli
Sini kama hivi mzee nimesoma nimebaki kucheka. Kifala🤣🤣Oya vp mzee
Hii coment tuiwekee lamination akifata huu ushauri wako na akili yake isikae sawa naenda kuny@ ikuluendelea kujipendekza, mtumie hela haduhakikishe unashinda njaa, ukishaona huna kitu na bado akili haikai sawa mhonge nyumba yenu anaweza akakuelewa.
Hapana 😂, ila kama ni ukorofi basi unajilazimisha, waachie wenyewe wewe fuata necha yakoNyingi hazina idadi 😂😂😂
We mgeni humu??
Haya ninyanyaseni nitafanyaje tena shida ni zanguMe nimempa tu reference best angu Half american sio kwa ubaya🤣
Inauma sanaDaah qmmak