Najipendekeza au niachane nae

Najipendekeza au niachane nae

Soma huu uzi wake labda utamuelewa🤣

Hii ndio siri yangu ya mapenzi nimo JF kitambo ila nimeamua kuja kiufiche ili nipate kuwa huru

Mimi ni kijana(Me) eary 20 na sijafikisha 22 bado, Sijawahi Sex kabisa hili ni moja ya jambo ambalo linanitatiza sana why this to me, unakuta kijana wa miaka 17 anapiga story jinsi anavyo tembeza... Niponipo sijui woga, uzembe au ni nini? Nishaurini kwenye hili nisije haribikiwa
We dada punguza umbea jamani nini hiki kuaibishana 😮‍💨😅
 
Kuhusu kubanduana utachagua mwenyewe, .. ushauri wangu...

1. Ukimwi upo
2. Ngono haina tuzo
3. Fanya kazi ukikua oa
4. Utazikwa peke yako
5. Penda watu wote
Wazo zuri
😂 sasa wameachanaje na hajawai kuishi nae.

Bila shaka atakuwa under 20 huyu au kuna tatizo mahali.
Sio kweli
 
Back
Top Bottom