Najipendekeza au niachane nae

Hahahaa 😂 ngoja akuskie na team yake ya kina min m
Mi mtumbad asijichanganye
Pole totoo
Mimi sio mtoto
😂 mbunyeto sio nzuri kabisa
Hahah bahati nzuri sio muumini wa kila siku ila haipiti week
Usingekua unalia lia hapa saivi🤣
Kulia lia sio kwamba mtu anamatatizo ya afya anyway hii kitu inatokana na malezi sometimes pia mimi sio wa kujichanganya kabisa mpaka sasa nje ya jf sina rafiki ambaye nasema natoka kwenda kupiga nae story imagine nipo lonely kiasi gani, hii inanifanya nakuwa hivi
Kibunda chenyewe cha af 5
Kwaiyo wewe unaendaga kwa mwana kwa buku 5 au
Nyamwi25 ana matatizo ya korodani
Zimepasuka au?
Wanajiotesha sugu tu🤣
Haahh sio kweli na ni kweli pia
 
Sema hanaga noma, sijui hata kwanini alipigwa ban
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…