Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Msalimie na Hamad kijichoMkuranga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie na Hamad kijichoMkuranga
Mbn kama nasikia vikuku vinawika uku mtaani ni ishara gani🤣🤣🤣Nikajua huko kwenu dar ni usiku maana huku kwetu kunapambazuka, wanajogorafia waongo sana
Zimefika mamaWasalimie majirani
Wachawi hao, jichanganye utoke nje 😂Mbn kama nasikia vikuku vinawika uku mtaani ni ishara gani🤣🤣🤣
Ndio nani huyoMsalimie na Hamad kijicho
Drone Drake kaasi Chama baada ya kuugua nusu kufa 😂Ni 21 mkuu kwaiyo na wewe ni mwanachama wa dronedrake
Maarufu sana hapo mkuranga, kwani wewe upo mkuranga ipiNdio nani huyo
Kwaiyo unanishauri niitafute niipe ofa tukutane somewhere nile tunda nina rough rider zangu sijazitumia toka ni zinunue😂 kata mwenyewe, punguza hiyo kitu asee, jitahidi ule hiyo mama acha uzembe.
Mi mgeni mkuuMaarufu sana hapo mkuranga, kwani wewe upo mkuranga ipi
Huyo sina taarifa naeHahahaa 😂 vp kuhusu min -me
Basi kesho mtafute Hamad, ana madili ya pesa ndefu tu yeyeMi mgeni mkuu
Weeeeeh sema kwer brother apa ndio nataka niamke zangu kumbe bado🤣🤣🤣🤔Wachawi hao, jichanganye utoke nje 😂
Na half american jeHuyo sina taarifa nae
Kula kupooza machungu ubao usome 1-1.Kwaiyo unanishauri niitafute niipe ofa tukutane somewhere nile tunda nina rough rider zangu sijazitumia toka ni zinunue
Ila mlio kwenye mahusiano mnatuonea wivu sana sisi msingleUsitoke online
Kumbe bado kachalii sana sikulaumu kwa hiloNi 21 mkuu kwaiyo na wewe ni mwanachama wa dronedrake
Tena usijiroge ukakojoe, huo mkojo unaokubana hapo ni Fake.Weeeeeh sema kwer brother apa ndio nataka niamke zangu kumbe bado🤣🤣🤣🤔
Na huu ugeni na upepo wa matukio nikianza kumtafuta ntazua taharukiBasi kesho mtafute Hamad, ana madili ya pesa ndefu tu yeye
SinichiNa half american je
Aaaaaah we Muongo kwaiyo nikakojoe wapi 😂 au nilibwage kunako bed😆Tena usijiroge ukakojoe, huo mkojo unaokubana hapo ni Fake.
Ukitoka nje tu kwaheri