Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Afute namba kabisaaaKata kabisa mazoea naye, ukipita mwezi na yeye hajakutafuta basi focus na mambo mengine kiongozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afute namba kabisaaaKata kabisa mazoea naye, ukipita mwezi na yeye hajakutafuta basi focus na mambo mengine kiongozi
Natuliza boli siku hiziAfute namba kabisaaa
Una miaka mingapiMbaya zaidi sijawahi kumbandua [emoji50][emoji100]
8 mkuuUna miaka mingapi
Yaani wewe kwa pesa utafikiri picha ya nyerereendelea kujipendekza, mtumie hela haduhakikishe unashinda njaa, ukishaona huna kitu na bado akili haikai sawa mhonge nyumba yenu anaweza akakuelewa.
Mapenzi ni mchezo usioeleweka 😂😂Natuliza boli siku hizi
Kumbe jeKumbe lengo ni kumgegeda 🤣🤣🤣🤣
Sasa yeye sii aseme direct tuu mbona story ndefuuuuuKumbe je
Had ww shogare 😂😂😂nakataa
mimi ndo kabisa yani,japo nakupenda tu shoga anguHad ww shogare 😂😂😂
😂😂😂 khaaaa!!mimi ndo kabisa yani,japo nakupenda tu shoga angu
😆😂😂😂 khaaaa!!
Km bdo hujapata nafasi ya kum'bandua mkuu mvizie mtegeshee big gee akiikalia tu hapo lazima atakuomba mwenyewe um' bandueMbaya zaidi sijawahi kumbandua 😮💨
Wewe si ndio ulileta humu uzi unatamani wanaume wenzako wakupelekee moto?Wakuu kunakipindi unafika unampenda mtu na mnaweka malengo ya kuwa pamoja kuna dada mmoja nilikutana nae na nilimpenda kweli tuliweka malengo mengi na tulipitia mengi pamoja ila tuliachana na tukarudiana na mengine mengi
Ni miaka na yule binti alipata maisha kabla yangu (uchumi) japo kwa sasa namzidi ila still nampenda for real
Kusema kweli ni mtu ambaye hajali na ni kanakwamba najipendekeza kujichatisha nae coz hata motisha hana
Namjuliaga hali tu nakosa cha kusema lakini ni kwamba kama vile nahisi nahitaji kuwa nae je nikimwambia tena turudiane ni udhaifu au nijikaze tu kiume mambo mengine yaendelee
Marafiki wanasema achana nae, wengine acha tu utaonekana kujipendekeza ila mimi sasa najikutaga muamba ila nikikaa mwenyewe nammiss why
We jamaaa haha so amtegeshee bigGKm bdo hujapata nafasi ya kum'bandua mkuu mvizie mtegeshee big gee akiikalia tu hapo lazima atakuomba mwenyewe um' bandue