Kanunua chakula cha mifugo na kuongeza mzigo dukani, hahahahahahahahah😀😀😀😀😀😀😀wachaga kwa ubahiri!! jana sikukupa laki ww umeishaje..?
hata hapendi mifugo labda duka..Kanunua chakula cha mifugo na kuongeza mzigo dukani, hahahahahahahahah😀😀😀😀😀😀😀
Amein mama uwe na siku ya furahaAhsante sana Bonny barikiwa sana
Ahsante rafiki yangu Ngushi, ya kwako ikifika unikumbushe nikutumie zawadi, tena uwe wazi unapenda za
Ha haaaa haaaaaa isipotumwa nakushtaki kwa ma mod wakupige banAhsante rafiki yangu Ngushi, ya kwako ikifika unikumbushe nikutumie zawadi, tena uwe wazi unapenda zawadi gani (ila iwe affordable) hahahahahahahah, usije ukasema gari aina ya hammer tehe tehe. yote kwa yote ahsante sana my rafiki
ha ha! uza ile kanga mpya umtumie!ishaingia kwenye mahesabu imeisha
InshallahAmein mama uwe na siku ya furaha
Ameen, LadyAJ nashukuru sana mpendwa kwa kuniombea memaHappy birthday Mtabiri, M/Mungu akujaalie Afya njema yenye faida, akufungulie njia zote za mafanikio,akuondolee Shari za Dunia hii na kila utakalolifanya likapate kumpendeza M/Mungu na viumbe vyake
Ahsante sana Kan'tangaze oooops nimesahau kumbe sasa ni Maserati, hahahaha nashukuru sana ndugu yanguHappy birthday mkuu. Uishi miaka mingi zaidi yenye a man I na mafanikio tele
Define Birthday...!?Wana JF mpogo!
Leo naadhimisha siku ya kuzaliwa, 11/5.
Naomba muungane nami katika siku hii ya leo.
Nakaribisha zawadi mbali mbali za pongezi
I prefer pesa to maua/kadi
Ahsante rafiki PROF NDUMILAKUWILI a.k.a ohooooooooooooooooooooooo! hahahahahahah
Nashukuru sana mkuu Ushimen, ahsante sanaDefine Birthday...!?
The one and only day in your life when you were crying and your mother was laughing.View attachment 507548
Ahhh......Nashukuru sana mkuu Ushimen, ahsante sana