Najisikia huzuni moyoni mwangu

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Za wakati tena wanajamvi!

Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.

Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.

najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?

Ushauri wenu plz.

Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?

Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
 
soma taratibu utanielewa!.."nenda MILEMBE kaombewe ama kanisani KATIBIWE" kiswahili kinaeleweka.
 
Endelea kufanya uzinzi bado bint mbichi kabisa ya kazi gani kuokoka?endelea kuwapa burdan watu kwa kadiri uwezavyo.
 
Endelea kufanya uzinzi bado bint mbichi kabisa ya kazi gani kuokoka?endelea kuwapa burdan watu kwa kadiri uwezavyo.
 
Pole sana.. usiache mpaka uzuni na rafiki wa mume wako..
 
Kitu kitachokusaidia kama ukiwa muwazi usicheze na akili za watu kuna siku utakuwa na matatizo kweli hautapata msaada kutokana na kutafuta umaarufu wa kijinga ila kama unajutia tafuta msaada wa kiroho zaidi ila uwe seriouz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…