Nikushauri kwa mara ya mwisho. Ni pm namba zako, nakuhakikishia ukizini na jamaa flan namfahamu hautazini tena na roho yako itapona.Za wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
Okoka ndugu yesu anakupenda na anakuhitaji ukamtumikieLeteni hoja acheni matusi
mkuu kisu kimegonga mfupaAisee we monicca ni shida si ulisema uliolewa ukiwa bikra sasa uzinzi uliufanyia wapi?.
Nawe pia mpenz. Utaniambia kesho umeniotaje.Usiku mwema wote
Za wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
Halafu best nikwambie kitu..yaani huwa unaongea pumba kuliko yoyote humu ndani, kabla hujaandi ujinga wako jiulize kwanza.,.halafu ukishaandika mtafute mtu mwenye akili timamu umuulize kama umeandika point angalau.Wanawake wa dar ukiwaoa ujue umebeba chizi ukaweka ndani, yaani hawajafundwa hata hawajui maana ya ndoa