Niko poa mamy.... naona wokovu unakuita shosti[emoji12]Vipi lkn uko poa
Mwenye ndoa isiyomaliza hata wiki ushaziniZa wakati tena wanajamvi!
Leo najisikia unyonge moyoni mwangu sijisikii kuchangamka kama nilivyozoeleka.
Najisikia kulia nikikumbuka madhambi yangu hasa ya uzinzi.
najisikia vibaya..bilashaka moyo wangu unaniongoza upande wa salama nawaza sijui niokoke au niendelee tu na uzinifu?
Ushauri wenu plz.
Na je nikiokoka Nani atawachangamsha tena?
Na je kweli naweza kusamehewa dhambi ya zinaa?
'Asante abuu....anafikiri sisi ni wasahaulifu kama yeye!Aisee we monicca ni shida si ulisema uliolewa ukiwa bikra sasa uzinzi uliufanyia wapi?.
Karibu sana kwenye wokovu shosti...Hahahahaha! Kbsa shost yangu..natamani nigeuke upande wa pili wa maisha
Sana mama angu.. Nafurahia wokovu wa BwanaAmazing wew umeokoka