Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,428
Habari wanajf...
Leo najisikia vibaya mno, asubuhi kilianza kichwa pekee nikameza panadol kikatulia..
Jioni hii najisikia vibaya sana, hata kueleza siwezi ila najisikia vibaya kwelikweli, masikio yanalia ziiiiiii, kichani sijisikii kuwaza lolote, kichefuchefu, homa na hali ya macho kuona kiza kiza, tumbo kama lina njaa kali ngawaje nimekula, yaan kufupi kila kitu najisikia vibaya..
Hali hii ni nini hasa?
Kujisikia vibaya kusikoeleweka wala kuelezeka kunasababishwa na nini?
NOTE:ni baada ya kupunguza nywele kwa kitana na wembe, je kuna uhusiano baina ya kuvutwavutwa kwa nywele na hali hii?
Nimi suruhisho maana hali hiii nakera
Leo najisikia vibaya mno, asubuhi kilianza kichwa pekee nikameza panadol kikatulia..
Jioni hii najisikia vibaya sana, hata kueleza siwezi ila najisikia vibaya kwelikweli, masikio yanalia ziiiiiii, kichani sijisikii kuwaza lolote, kichefuchefu, homa na hali ya macho kuona kiza kiza, tumbo kama lina njaa kali ngawaje nimekula, yaan kufupi kila kitu najisikia vibaya..
Hali hii ni nini hasa?
Kujisikia vibaya kusikoeleweka wala kuelezeka kunasababishwa na nini?
NOTE:ni baada ya kupunguza nywele kwa kitana na wembe, je kuna uhusiano baina ya kuvutwavutwa kwa nywele na hali hii?
Nimi suruhisho maana hali hiii nakera