Najitambulisha

Dom2

Member
Joined
Jul 15, 2021
Posts
74
Reaction score
99
Fani yangu ni Mtaalamu wa Saikolojia katika masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi.

Pia nafundisha Lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa Wageni.

Karibuni wote.

 
Naomba kuuliza Hivi unaweza Kuwa Mwanasaikoloji bila Kusomea.
 
Unajitambulisha fani yako au unajitambulisha kwa kuwa wewe ni new member
Fani yangu ni Mtaalamu wa Saikolojia katika masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi.
Pia nafundisha Lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa Wageni.
Karibuni wote.


Sent from my Infinix X682C using JamiiForums mobile app
 
Sasa bila picha tutakujuaje
 
Karibu sana JamiiForums...
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…