Daktari wa Meno
JF-Expert Member
- Sep 5, 2019
- 509
- 1,610
- Thread starter
-
- #41
Kama uko serious nitumie ujumbe kaka nikusaidie.Ndugu yangu afadhali umejitolea, nataka unifanyie upasuaji wa moyo maana umejaa maji.
Umewahi kujaribu kutafuta kazi kwenye zahanati mkuu?mimi ninauwezo wa kuchoma sindano vema kabisa, nimepata uzoefu kupitia nguruwe ninao wafuga.
kiongozi tusaidiane ajira kunako majariwa, naamin hii ni fursa tunatoboa
Cha meruBaada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.
Karibuni wadau
Unauliza majibu au?!...huu ni utani au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Seriously...... Mwifwa
Watu kama nyie mkikutana na RC Mwamri wa tabora ingekua njema sana.Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Ana taaluma ya udaktari.Watu kama nyie mkikutana na RC Mwamri wa tabora ingekua njema sana.
Unasumbuliwa na nini labda ili nijue kama unahitaji operesheni.Sawa
Najitolea kua wa kwanza.
Kuna mdau kanishauri na kunielekeza aina ya wanyama wa kufanyia majaribio. Ngoja nikipata hata mmoja nijaribu nilete na mrejesho hapa.Hebu anza na wanyama kwanza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanaanzia kwenye Cadaver kwanza ili wajifunze structure ya mwili, viungo, mishipa, neva na mengine mengi kwa ujumla.
Ila huyu kuona kwenye Youtube kajiona anaweza kupractice kwa binadamu aliye hai..
Namshauri aanzie kwa watoto wake(kama anao) akiiva vizuri ndio aje kwa raia wengine.
Sijajua ni aina gani za wanyama wa kufanyia majaribio mdau pia ni ngumu mtu kunipa mnyama wake nimfanyie majaribio kwa jinsi navyojua watu na tabia zao.
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.
Karibuni wadau
[/kuna watu akili mingi mno asee
Najitolea kwa hili ukitaka kujaribu kupasua kichwa nipo [emoji12][emoji12]Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.
Karibuni wadau