Najitolea bure kufanya matibabu kwa watu watakaokuwa tayari

Najitolea bure kufanya matibabu kwa watu watakaokuwa tayari

mimi ninauwezo wa kuchoma sindano vema kabisa, nimepata uzoefu kupitia nguruwe ninao wafuga.
kiongozi tusaidiane ajira kunako majariwa, naamin hii ni fursa tunatoboa
Umewahi kujaribu kutafuta kazi kwenye zahanati mkuu?
 
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.

Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.

Karibuni wadau
Cha meru
 
Seriously...... Mwifwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wanaanzia kwenye Cadaver kwanza ili wajifunze structure ya mwili, viungo, mishipa, neva na mengine mengi kwa ujumla.

Ila huyu kuona kwenye Youtube kajiona anaweza kupractice kwa binadamu aliye hai..

Namshauri aanzie kwa watoto wake(kama anao) akiiva vizuri ndio aje kwa raia wengine.
 
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.
Watu kama nyie mkikutana na RC Mwamri wa tabora ingekua njema sana.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Watu wanaanzia kwenye Cadaver kwanza ili wajifunze structure ya mwili, viungo, mishipa, neva na mengine mengi kwa ujumla.

Ila huyu kuona kwenye Youtube kajiona anaweza kupractice kwa binadamu aliye hai..

Namshauri aanzie kwa watoto wake(kama anao) akiiva vizuri ndio aje kwa raia wengine.

Mbaya zaidi anataka afanyie practise kwenye miili ya wenzie
 
yani huu uzi na coment za wadau alafu na jamaa anvyo act serious amenifanya nicheke kama boya ndani ya net usiku wote huu hahahaahaahaha
 
Mkuu biology form 6 watu wamepasua sana vyura,we umeshindwa hata kuntafuta chura umfanyie operation bila kufa?
Sijajua ni aina gani za wanyama wa kufanyia majaribio mdau pia ni ngumu mtu kunipa mnyama wake nimfanyie majaribio kwa jinsi navyojua watu na tabia zao.
 
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.

Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.

Karibuni wadau
[/kuna watu akili mingi mno asee
 
Baada ya kusoma juu ya utabibu kwenye mtandao wa YouTube kwa sasa nimeiva na ninataka kufanya majaribio ya kile nilichosoma kwa miaka zaidi ya 5 huko mtandaoni. Nilisoma kuhusu kufanya operesheni na kutibu magonjwa mbalimbali kupitia video za mtandaoni. Japo napungukiwa na uhaba wa vitendea kazi kama visu, nyuzi za kushonea, mikasi mikubwa, gloves, nyembe na vitanda vya kufanyia upasuaji ila naamini nitaweza kufanya huduma nzuri kadri nilivyosoma.

Naomba ushirikiano wako kama mdau na kama unahitaji kufanyiwa operesheni naweza kujaribu kufanya nione kama nitakuwa na mafanikio makubwa.

Karibuni wadau
Najitolea kwa hili ukitaka kujaribu kupasua kichwa nipo [emoji12][emoji12]
 
Anza kufanyia vyura kwanza upata practical experience...

Binadamu ana complications nyingi...


Cc: mahondaw
 
Inter view ya kwanza Unaanzaje kwa mama mjamzito mwenye ngiri?
 
Back
Top Bottom