Najitolea kukuza kampuni yako bure

Nitafute kwa PM tuwasiliane na kuelezana zaidi.
 
Ni kweli haujaelewa sijui ni lugha yangu imekuwa ngumu kuielewa.

Ila upo kiswahili sana kaka jaribu kuwa mtu wa miaka mitano au wewe ni sales man nisikusumbue kwa kukwambia usiyoyajua

Ok naanza kwa kukujibu maswali yako Tanesco wanafanya marketing kwa sababu wanailinda brand yao kutokana na direct pamoja na indirect competitors,naona hata hujui nlikuwa nakuchallenge nione uko deep nimeona uko shallow in deep.

Wasionielewa watakuona uko juu kwa maelezo yako ila,ukiingia kwenye industry ni ishu kwa maelezo hayo.

Pia rudia kuisoma vizuri comment yangu naona umekurupuka kidogo,utanielewa
Marketing maana yake sio hiyo uliyoitoa maana ya marketing ni kuhamisha brand yako kutoka katika mfumo wako na kuileta kwa mtu unaemtegemea. Hiyo ndio maana ya marketing.

Na katika biashara kuna aina tatu za competitors sio compatitors (unapunguza crdt kwa kuandika broken),kuna direct,indirect na thinker, haya next post nielezee hawa tu na unawezaje kufight nao.

Bado sana kaka try your lucky,industry changed now and it's moving so fast,if your still in alpha others their approaching omega be smart, that's how marketing personnel he is support to be.
 

Be serious bana hapa sio fb,ulikuwa unasoma huku unafanya kazi mbili? Na ulikuwa unafanya kazi kama nani katika hizo kampuni? Kufungua gazeti inahitaji mwanasheria,dummy,waandishi wa habari sio chini ya 4,capital ya kuweza kutoa matoleo 10 bila kukosa,wewe vyote hivyo umevifanya ila ukafeli sababu haukuijua marketing sasa hv unasema una stationery sinza,hebu nipe mashiko ya kufanya anaekupa kazi akuamini iwapo ndani ya miaka mitano umefanya kazi kampuni zaidi ya 10 na hadi ukafungua ya kwako ila hautaki kujitolea huko unataka kwenye kampuni nyingine

Asante mkuu nasubiri majibu.
 
Thankyou for educating me sir, mengine unaniambia hapa I real nevr heard b4. May be nitaweza kujifunza aidi kutoka kwako. Post yako ya kwanza kabisa. Pengine hukuelewa nilichokuwa najibu boc wangu, jamaa aliuliza upande wa marketing akitaka ku tanua biashara yake kwenye maeneo mapya kama dar aanzie wap.
Mimi nimejibu afanye short marketing reseach akianzia na kuwajua competitors wake, we ukasema majibu yangu ya kitoto anatakiwa aanze kwa kuzijua bidhaa zake pamoja na wateja wake. What I see may be hukuelewa swali. Inamaa na muda wote ambao ameuza product yake zanziber mpaka
anafikiria kuileta dar alikuwa hajazijua tu product zake au hajawajua tu wateja wake tu. Hebu ongeza uzito wa hoja boc wangu!
Nimeshakwambia ishu ya lugha ikoje kwenye marketing still unaniletea typing error tena different ya a na e duuuu!
Tatizo kaka unanipa consept za kumezeshwa tena kama sio kumezeshwa ne mwakyembe basi umemezeshwa na akina mungai. Fikiria vizuri kama kweli marketing ni kuintroduce brand kwa watu basi tigo wavunje marketing department yao leo coz hiyo brand mpaka mke wa tatu wa mkurugenzi wa air tel ambae yupo ujerumani na hajawah kufika dar anaijua. sema samahani kaka pengine ndio mlivyofundishwa darasani xo nisikusumbue bure mimi sijafundishwa marketing na mwakyembe wala kawambwa.
 

Whatever you think either you can or you can't you are wright
Stop complecating sir!
 
Hey calm down bro,Don't panic its just challenge

Sijafundishwa na mwakyembe wala mungai ila kama ndio marketing unayoiplay hivyo basi ushafeli kama kampuni yako ya magazine

And umesema kuhusu tigo na branding nahisi huelewi hata maana ya brand rudi kapitie package nzima ya business ndio utaweza kunielewa ili ufanikiwe katika marketing lazima ujue branding,marketing na customer care.sasa naona wewe unaufahamu kidogo wa marketing rudia tena kusoma maneno yangu ya mwisho kwenye comment ya pili,ukiwa unafanya marketing ni sawa na unakuwa darasani kila siku pitia pitia new trends za marketing then utaona how far you are.

Nlikwambia unijibu tofauti na jinsi ya kuwaface competitors wa aina tatu tofauti kwa huyo mkuu wa zanzibar ila umerudi na topic ya mwakyembe na Mungai mbona unahama mada ila nimekuelewa mwishoni. hata customer care ni tatizo maswali ya msingi unaruka ila kidogo jazba imekuja relax bro sio vita funguka zaidi ili niuone uwezo wako utapata kazi sio volunteer unayotaka.

Nakuachaaaaaaa mkuuu,all the best huko utakakopata kazi, ila kuwa makini tena sana.
 

Kwamba nina ufahamu mdogo sikatai, then mbona nipo ok boc wangu, ishu ni kwamba sina uelewa na mswali uliyoniuliza sir! So kwa faida yangu na wengine ni vema ukanieleza tu boc
 
Sawa unaweza ukawa una mzuka wa kuelezea kitu lakini inaharibu radha ya maelezo yako unapoamua kwa maksudi kuharibu lugha. Na hivi vitu ndiyo vinakufanya upunguze ufanisi (Efficiency) wa kazi zako hatimaye unaweza kupotezwa kwenye hiyo fani yako (You lose your reliability in your own game). Tafadhali ongeza umakini kwenye vitu vidogo vidogo.
 
Tunakuitaji kwenye website yetu ya matangazo ili uwe online marketing wetu tembelea tovuti hii: The Ultimate Tanzania Business Directory | RomTanzania upate mambo yetu zaidi karibu sana
 
pamenigusa hapa mkuu Mwanaume wa ukweli Pia rudia kuisoma vizuri comment yangu naona umekurupuka kidogo,utanielewa
Marketing maana yake sio hiyo uliyoitoa maana ya marketing ni kuhamisha brand yako kutoka katika mfumo wako na kuileta kwa mtu unaemtegemea. Hiyo ndio maana ya marketing.
 
Last edited by a moderator:

kuna kitu najifunza hapa hongera sna msamiati
 
Sasa sio bure,hiyo lugha yabure itoe kabisaaa.Maana maelezo yanajichanganya na heading

Ndio lugha ya watu wa marketing hiyo Mkuu msaidie ili nae akupe huduma au achana nae otherwise nimemkubali kwa approching yake ya kuuza huduma japokuwa atapata changamoto...
 
Msamiati lete namba ya simu tumekuelewa, wasiotaka kukuelewa hujawalazimisha wakuache ebo!
 

Mkuu mi naona umeamua kwa makusudi kutomuelewa Msamiati.
Msamiati amesema,namnukuu,
"Kaka kukushauri jinsi ya kuexpand your product market iwill need to understand your product well".

Hayo maneno ya msamiati niliyoyawekea rangi yekundu kama ungeyazingatia na kumuelewa usingehoji kwa mfano wako wa vipi kama gari halina mafuta,oil chafu au maji yameisha maana umetumia gari kama ndio mfano wa hiyo product inayotakiwa kufanyiwa marketing.


Hayo maandishi yako ya bluu tayari msamiati alishaongelea hilo,kwenye hayo maanishi yake mekundu hapo juu niliyoyanukuu kutoka kwenye coment yake.
 

Mkuu kama kuandika broken english kunapunguza credits za hoja mbona wewe unayejaribu kuonesha kuwa msamiati ni chipukizi kwenye hii tasnia unaandika kiingereza kibovu sana.
Btw,msamiati aliweka wazi kuwa yeye hayuko vizuri kwenye kiingereza ila anaweza kidogo cha kuongea.
 

Du! Queen unamacho!!!! Bora umenisaidia cjui ulikuwa wapi tangu jana
 

Ni kipaji au umesomea? 23yrs with 5yrs xperience???
 
Elimu yangu ya darasani nimaswala ya computer, computer graphics, softwere development & it kwa ujumla. Lakini hii shughuli nimekuwa nikizifanya part time, kazi zote ninazofanya niza marketing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…