Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,828
Duuuh hongera sana ndugu kwa kweli upo vizuri kinoomaKaka imani nimefanya kazi Mwanachi Communication Ltd kwenye gazeti la Mwanaspot kuanzia nikiwa form1 mpaka Form2, nimefanya Bang Magazine nikiwa form 2 nimefungua kampuni yangu nimetengeneza magazine na kuuza project nikiwa form 3 ( ndoto magazine kwa wanaofatilia wataifahamu) sasa huamini nini