You pretend to know Matola but u know nothing about Matola, Mimi kwangu binafsi hata Nigerian movie hazikidhi mahitaji ya ubongo wangu, Sinema zangu ni za James Bond, Wisley snipes, Brad Pitt, Jason Stattam, Reonaldo Di Camprio, Angeline Jolie na wengine ambao wanafit kwenye Category hii.
Bongo ninachoweza ni kuangalia Comedy za King Majuto, Mzee Jangala na hawa baadhi wanaitwa sijui vingwendu, The comedy hawana nafasi katika ubongo wangu.
Msimamo wangu huu haunipofushi kujuwa kwamba Kanumba was a hard worker na alikuwa anafanya vizuri kwa mashabiki wake lakini siyo kwangu, na huyu Lulu badly ndiyo nimemjuwa/kumfahamu mwaka huu baada ya thread zake kushika kasi, maana ilikuwa vigumu mimi kumjuwa mapema tatizo mimi si msomaji wa magazeti ya udaku wala website za kidaku na hata hapa JF jukwaa la celebrity nimeanza kulitembela mwaka huu.
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu
Kwa kesi hii wengi watajidai mawakili
Nenda kamtetee maana akshatoka atakutafuta umuoe kabisa ili nawe ufaidi **** yake tamu sana.
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu
Kama unajua sheria na ni mpenda haki nenda kamuwakilishe Lulu. Lakini naona hakuna kesi ya kujibu pale faili likipelekwa kwa DPP litarud hakuna kesi ya kujibu pale. Si ilikuwa self defence ile? or either accident?
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu