Najitolea kuwa wakili wa Lulu

Najitolea kuwa wakili wa Lulu

You pretend to know Matola but u know nothing about Matola, Mimi kwangu binafsi hata Nigerian movie hazikidhi mahitaji ya ubongo wangu, Sinema zangu ni za James Bond, Wisley snipes, Brad Pitt, Jason Stattam, Reonaldo Di Camprio, Angeline Jolie na wengine ambao wanafit kwenye Category hii.

Bongo ninachoweza ni kuangalia Comedy za King Majuto, Mzee Jangala na hawa baadhi wanaitwa sijui vingwendu, The comedy hawana nafasi katika ubongo wangu.

Msimamo wangu huu haunipofushi kujuwa kwamba Kanumba was a hard worker na alikuwa anafanya vizuri kwa mashabiki wake lakini siyo kwangu, na huyu Lulu badly ndiyo nimemjuwa/kumfahamu mwaka huu baada ya thread zake kushika kasi, maana ilikuwa vigumu mimi kumjuwa mapema tatizo mimi si msomaji wa magazeti ya udaku wala website za kidaku na hata hapa JF jukwaa la celebrity nimeanza kulitembela mwaka huu.

hakuna ushahidi wa hayo,na namjua mke wangu tu!wewe,aaaaaarrrgggg,what for?
 
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu

Fabinyo haya sasa kazi ni kwako mama yeke kaomba msaada wa wanasheria kama vipi mcheck Joyce kiria akupe namba ya mama yake!
 
Kwa kesi hii wengi watajidai mawakili

Na ahadi ni ileile ya ntakuoa, maana si atakuwa 'mkubwa' pindi atakapotoka huko lupango, kama hatakuwa na hatia. Na hapo si chini ya miaka 5 hadi 7. Masikini Lulu, haraka ya mapenzi imemuingiza 'ukubwani' mapemaaaaaaa!
 
kamsaidie jamani maana kiukweli anahitaji msaada wa hali ya juu... Be blessed.
 
Good..mtafute Joyce Kiria wa wanamama live Eatv,akupe contact za Mama lulu
 
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu

we ndo umemtuma akamuue?
 
Jamani kwa nini majibu haya lakini, ebu JF tusipafanye pa walevi na watu wasiojua cha kufanya, nafikili huyu anahitaji mchango wako wa mawazo kama hauna cha kusema basi si lazima uchangie, "yake tamu sana" nini?
 
nakuuuunga mkono, Mungu akutangulie katika jina la bwana uokoe hiki kiumbe kisiangamie maisha, kwani hakijauakwa upanga ni mipango ya Mungu tu wala sio freeMason
 
Hilo ni swali gani sasa ulikuwepo wakati anamuua au ndio nyie mnao sikia radio mbao,mimi sikuwepo ndio maana siwezi kumuhukumu mtu,Kifo cha Kanumba kinaniuma lakini pia namuonea huruma Lulu maana uenda sio kweli alimuua
 
Kama unajua sheria na ni mpenda haki nenda kamuwakilishe Lulu. Lakini naona hakuna kesi ya kujibu pale faili likipelekwa kwa DPP litarud hakuna kesi ya kujibu pale. Si ilikuwa self defence ile? or either accident?

Mabush lawyers bana!!
 
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu

Yaani si kwamba hakuna anayeemsema vizuri kwa kuwa alikuwa wa mwisho pale kwa SK..

Watu hawampendi,(sijafanya utafiti,ila nadhani kina dada wenzake ni wengi zaidi) kwa kuwa ni mtundu,na tena bado ni mwenye sura nzuri na umbo la kuvutia machoni..
Yaani wao wanaona anamisuse uzuri aliojaliwa na Muumba,kwa viatabia vyake..

So wanaona bora yamkute,au yamfike,ili ashike adabu yake!
 
toka kanumba amefariki sioni mtu yeyeto anayemsema vizuri binti huyu,lawama zote zipo juu yake kwa vile tu alikuwa wa mwisho kuwa nae!kwangu ni kama kuangukiwa na jumba bovu,anajitolea kumpa msaada wa kisheria bure kunusuru maisha ya mtoto huyo japo nako ni mapepe,kaliambiwa katulie kasome wapi!!anyone with the same idea?umoja ni nguvu

Yaani si kwamba hakuna anayeemsema vizuri kwa kuwa alikuwa wa mwisho pale kwa SK..

Watu hawampendi,(sijafanya utafiti,ila nadhani kina dada wenzake ni wengi zaidi) kwa kuwa ni mtundu,na tena bado ni mwenye sura nzuri na umbo la kuvutia machoni..
Yaani wao wanaona anamisuse uzuri aliojaliwa na Muumba,kwa viatabia vyake..
 
Hii kesi ina public interest, uliona ule umati msibani, achilia mbali walioko mikoani ambao hawakuoneka pale? Wote hao watataka kujua ukweli, haijalishi lulu ana miaka 16 sijui 17,

So ukatende haki huko, all da best
 
Back
Top Bottom