Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Habarini za wakati huu.
Pasi na shaka wapo washauri wa viongozi wetu, na viongozi ndyo huwachagua watu hao.
Napata mashaka kuona baadhi ya viongozi kuwa na hoja hafifu na uwezo mdogo wa kupambanua mambo, mimi sijabobea katika siasa lakini atleast naweza kuona na kuelewa mienendo ya viongozi.
Hao wanao washauri viongozi wetu wanashauriwa na nani? Kama ni mawazo yao binafsi Je wanasema ukweli au wanashauri kwa lengo la kulinda matumbo yao? Je hao washauri wanapatikana kwa vigezo gani?
Pasi na shaka wapo washauri wa viongozi wetu, na viongozi ndyo huwachagua watu hao.
Napata mashaka kuona baadhi ya viongozi kuwa na hoja hafifu na uwezo mdogo wa kupambanua mambo, mimi sijabobea katika siasa lakini atleast naweza kuona na kuelewa mienendo ya viongozi.
Hao wanao washauri viongozi wetu wanashauriwa na nani? Kama ni mawazo yao binafsi Je wanasema ukweli au wanashauri kwa lengo la kulinda matumbo yao? Je hao washauri wanapatikana kwa vigezo gani?