Najiuliza kama Spika aliapa kuilinda na kuitetea Katiba, kwanini anaivunja?

Shein ni Muislamu.
Hussein Mwinyi ni Muislamu.
Majaliwa ni Muislamu.
Kova ni Muislamu
Kikwete ni Muislamu
 
Juzi kati.kuna mlevi.mmoja alisikika akisema viongozi wenginwaktisto wanakufa kwa sababu wanaapa kuilinda katiba kwa kutumia biblia takatifu wakati hawailindi kama Speaker.Lazima.Mungu awaadhibu tu Mark my word
 
Ndio maana kuna umuhimu wa kupata Katiba mpya itakayohakisha kunakuwa na checks and balances imara kati ya mihimili mitatu
 
Uongo mtupu.
Paul Biya ni dikteta wa Cameroon na yupo madarakani kwa miaka 30
Kuna kina Museveni, Mugabe, Kagame, n.k
majanga na vifo vingi vinavyowafika wanasiasa ni viapo vyao kumuhaidi Mungu, na baadae kwenda kinyume navyo,
Hata dikteta wa chattle kiapo kimefupisha utawala wake ,

Na siku wakija kuligundua ili, hawatoapa kwa vitabu vya Mungu
 
Mbona Museveni, Kagame, Paul Biya, Mugabe wamezeekea madarakani??
Juzi kati.kuna mlevi.mmoja alisikika akisema viongozi wenginwaktisto wanakufa kwa sababu wanaapa kuilinda katiba kwa kutumia biblia takatifu wakati hawailindi kama Speaker.Lazima.Mungu awaadhibu tu Mark my word
 
Ki-yehodaya hodaya umepatia karibu itaita nyau nyau [emoji23][emoji23]
 
I agree with you too Sir.

Mimi binafsi I believe there is a deity, something that created the universe, created laws to govern the universe lakini sio huyu anaeelezewa kwenye biblia ama quran, that is a monster.
Mkuu kama hauamini kwambo Mungu anaelezwa kwenye bible is creator of the universe.
Ok its fine ni Mungu yupi Aliyefanya yote haya
 
Inakera sana. Hata hivyo atalipa tu akiwa hai. Mda unajongea.
 
Well said, i second
 
Kwani wewe hukuapa kuilinda ndoa yako na unachepuka!
 
Spika tuna msamehe, lakini siyo Simba. Wameleta aibu kubwa kwa taifa
 
Za underkapeti Ngudai analamba fifty 50% ya kila kichwa cha Covid 19 upo? Usione mishipa ya shingo inamsimama bure kuwalinda .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…