Najiuliza ni kitu gani hiki vodacom wanafanya?

Najiuliza ni kitu gani hiki vodacom wanafanya?

balibabambonahi

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2015
Posts
15,771
Reaction score
14,294
Nimeweka pesa kwa wakala,

Meseji ikaenda kwa wakala kwamba muamala umefanikiwa lakini kwangu meseji haijafika.

Nimeangalia salio hakuna pesa, wakala akawapigia simu wakasema pesa imekuja kwangu wakati pesa kwangu haijaja.

Najiuliza ni kitu gani hiki Vodacom wanafanya?
 
sasa ndugu mteja ndo uje utusakame huku kisa hiyo 1500 yako..??!!
we mteja umekosa hata koromeo!,friji lako haligandishi linachemsha tu!
ingekuwa million si ungeturoga wewe..??!!
 
"Mpendwa Mteja,

Tunakuomba radhi kwa kuchelewa kwa muamala wako wa M-Pesa. Timu yetu inashughulikia suala hili na tutakutaarifu mara tu litakapokuwa limetatuliwa.

Asante kwa uvumilivu wako.

Vodacom."

Hapo wanakuwa wamemaliza,kilichobaki ni wewe na subira yako kuvuta heri 😀
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
sasa ndugu mteja ndo uje utusakame huku kisa hiyo 1500 yako..??!!
we mteja umekosa hata koromeo!,friji lako haligandishi linachemsha tu!
ingekuwa million si ungeturoga wewe..??!!
Kazi ya kichwa siyo kubeba nywele peke yake.kuna ubongo mle
 
Back
Top Bottom