Najiuliza nini kilimsibu Halima Mdee mpaka kukisaliti chama

Najiuliza nini kilimsibu Halima Mdee mpaka kukisaliti chama

mwangomo83

Member
Joined
Jun 18, 2021
Posts
15
Reaction score
47
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
Tamaa ya vyeo
 
Daaaah Sauti ya Zege akitamba Bungeni bila Hofu. Wanafunzi wa kike alikuwa Role Model wetu. Wakirejea Wabunge Majasiri Wadada/ Mazas Halima wa Kwanza. Safu Yao ilitikisa Mdee, Lisu, Kafulila, Zito,Slaa tutamiss sana uwepo wenu Bungeni. Rest Uraiani In Peace Makamanda wetu. Halafu Halima Combat sare ya CHADEMA inapendeza sana akivaa
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?

Urafiki wake wa kipuuzi na Esther Bulaya ni sehemu ya kilichochangia Halima kutokuchukua maamuzi sahihi. Isitoshe Halima toka amemaliza chuo hajawahi kufanya kazi yoyote nje ya kazi ya siasa hasa ubunge. Huenda hofu ya kukosa pesa za dezo ilimuondolea uwezo wa kufanya maamuzi sahihi, akaishia kushawishiwa na Bulaya nk.
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
Mi nafikiri hilo la akina Halima Mdee na wenzake likupe fununu kwamba chadema inavyosimuliwa na wanamtandaoni ni tofauti sana na chadema halisi ilivyo.

Wakikusimulia wanachadema kuhusu chadema utadhani leo hii chadema ikiingia madarakani nchi itageuka paradiso. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba ndio hawa hawa akina mdee ndio wangekuwa sijui mawaziri, pengine mbowe angekuwa ndiyo PM, watu corrupt corrupt tu hawa ndio wangekuwa wakiongoza serikali.

Hii nchi usiweke tumaini lako kwenye ushindani wa vyama vya siasa. Wote ni funza tu.
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
Pesa na kitisho Cha kupoteza kipato enzi ilee
 
Urafiki wake wa kipuuzi na Esther Bulaya ni sehemu ya kilichochangia Halima kutokuchukua maamuzi sahihi. Isitoshe Halima toka amemaliza chuo hajawahi kufanya kazi yoyote nje ya kazi ya siasa hasa ubunge. Huenda hofu ya kukosa pesa za dezo ilimuondolea uwezo wa kufanya maamuzi sahihi, akaishia kushawishiwa na Bulaya nk.
Uko sahihi, lakini kwa nafasi yake ya mwenyekiti wa Bawacha alikuwa na uhakika wa kurudi bungeni,
Lakini ndio hivyo tamaa mbaya,
 
Mi nafikiri hilo la akina Halima Mdee na wenzake likupe fununu kwamba chadema inavyosimuliwa na wanamtandaoni ni tofauti sana na chadema halisi ilivyo.

Wakikusimulia wanachadema kuhusu chadema utadhani leo hii chadema ikiingia madarakani nchi itageuka paradiso. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba ndio hawa hawa akina mdee ndio wangekuwa sijui mawaziri, pengine mbowe angekuwa ndiyo PM, watu corrupt corrupt tu hawa ndio wangekuwa wakiongoza serikali.

Hii nchi usiweke tumaini lako kwenye ushindani wa vyama vya siasa. Wote ni funza tu.
Pumba na negativities zako tu kwa chadema.
 
Kweli it's shame Mh.Halima Mdee alifanya maamuzi yaliyotawaliwa na tamaa na sio uono wa kichwani, ila hiki ni kichwa pls CDM tusikiache kipotee, msamaha ni muhimu ila naye apologies kwa alichokifanya.we have a right to disagree
 
Back
Top Bottom