Najiuliza nini kilimsibu Halima Mdee mpaka kukisaliti chama

Najiuliza nini kilimsibu Halima Mdee mpaka kukisaliti chama

Mi nafikiri hilo la akina Halima Mdee na wenzake likupe fununu kwamba chadema inavyosimuliwa na wanamtandaoni ni tofauti sana na chadema halisi ilivyo.

Wakikusimulia wanachadema kuhusu chadema utadhani leo hii chadema ikiingia madarakani nchi itageuka paradiso. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba ndio hawa hawa akina mdee ndio wangekuwa sijui mawaziri, pengine mbowe angekuwa ndiyo PM, watu corrupt corrupt tu hawa ndio wangekuwa wakiongoza serikali.

Hii nchi usiweke tumaini lako kwenye ushindani wa vyama vya siasa. Wote ni funza tu.
Kwahiyo hivi nchi inavyoendeshwa ndo tupo kwenye paradizo? Mwenzetu tunaona upo juu ya paradizo. Waulize akina mzee Waryoba na Butiku kama kweli nchi ipo kwenye paradizo.
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
Hakunaga mkate mgumu mbele ya chai ya uswahilini
 
Anatumia akili za kushikiwa na Ester Bulaya kweli.....🤔
Pamoja na alipokuwa amefikia kisiasa ni aibu na watu dizaini yake ndio wanamvunja nguvu mwenyekiti mbowe, anawapiga msasa matokeo yake wanamsaliti ni aibu kwake....
Hata akisamehewa tayari ana doa kisiasa...
 
Ni Magufuli ndiye aliyewarubuni hawa wanawake kwa kutumia udikteta wake na mpaka kumtoa yule dada magereza.

Ilikuwa ni ubabe tu wa Magufuli akamwamuru Ndugai wakijua kwamba hakuna kitakachofanyika basi na akina Mdee wakawa na viburi lkn ndio hivyo tena hakuna ajuaye kesho.

Lakini leo Magufuli hayupo na Ndugai ndio hivyo tena amebaki wa kupiga chabo kama kibaka hivyo akina Mdee hawana pa kuegemea inabidi tu waanguke. That's it.
 
Najiuliza maswali mengi nashindwa kupata jibu,hivi Halima Mdee nini kilichomsibu,siamini kama ni tamaa za ubunge au kuna kingine cha ziada, huyu alikuwa Mwenyekiti wa Bawacha mtu mkubwa ndani ya chama ,akizunguka Tanzania na nje ya tz kukipigania chama.

Hawa wenzake walimpa nini mpaka akakisaliti chama, huyu alikuwa chuma kwelikweli, ni uoga wa Serikali ya kipindi cha Chato ili ajinasue mapema?

Tamaa ya ubunge hili siafiki kwa sababu angeteuliwa tu viti maalum mambo yakiwa sawa au ni usaliti kwa Chama. Halima amejiporomosha mwenyewe, amejishusha mwenyewe, hawa wenzake wengine hata hawajulikani tunawaona wakitabasamu tu.

Halima akiwa anaongea, bora ya Matiko na Bulaya mikiki yao tunaijua, walimpa nini mpaka akajishushia heshima yake kubwa kubwa sana?
Shida Hela/Pesa
 
Kwahiyo hivi nchi inavyoendeshwa ndo tupo kwenye paradizo? Mwenzetu tunaona upo juu ya paradizo. Waulize akina mzee Waryoba na Butiku kama kweli nchi ipo kwenye paradizo.
Mekwambia wote hao mafunza tu hawana interest zangu wala zako mioyoni mwao. Huyu anayekwambia kula kwa urefu wa kamba yako, na mdee aliyefoji saini ili akule keki ya taifa.
 
Mi nafikiri hilo la akina Halima Mdee na wenzake likupe fununu kwamba chadema inavyosimuliwa na wanamtandaoni ni tofauti sana na chadema halisi ilivyo.

Wakikusimulia wanachadema kuhusu chadema utadhani leo hii chadema ikiingia madarakani nchi itageuka paradiso. Lakini ukweli wa mambo ni kwamba ndio hawa hawa akina mdee ndio wangekuwa sijui mawaziri, pengine mbowe angekuwa ndiyo PM, watu corrupt corrupt tu hawa ndio wangekuwa wakiongoza serikali.

Hii nchi usiweke tumaini lako kwenye ushindani wa vyama vya siasa. Wote ni funza tu.
Tuweke kanisani?
 
Back
Top Bottom