BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Niko najipongeza na droo sio kwa bahati mbaya ni hela ya mhindi kalia.
Kama mtu amekasirika ajitokeze ajifanye kama anajikuna
Umejiuliza Yondan alijuaje jamaa Kagere kavaa bima ya afya uwanjani? Hivi unajua yule mshabiki wa Yanga alivyoingia uwanjani akadondoka
Kilichoendelea upande wa Simba
Kamuulize Manula.
Kama mtu amekasirika ajitokeze ajifanye kama anajikuna
Umejiuliza Yondan alijuaje jamaa Kagere kavaa bima ya afya uwanjani? Hivi unajua yule mshabiki wa Yanga alivyoingia uwanjani akadondoka
Kilichoendelea upande wa Simba
Kamuulize Manula.