Najiuliza Yondan alijuaje kuwa Kagere ana bima ya afya uwanjani?

Najiuliza Yondan alijuaje kuwa Kagere ana bima ya afya uwanjani?

Punguzeni mahaba na ujinga..ile ilikuwa cheni ya kawaida na ilikuwa na msalaba. Halafu unachosema unakielewa lkn!?? Hakugusa mpira kivp tukio la kuvuliwa cheni limetokea dakika 21 kwenda 22. Goli la kwanza la Simba limefungwa dakika 42. Sasa hakugusa vipi na alifunga goli.

Goli la pili la Simba yeye ndo katengeneza dakika ya 47. Ujinga siyo kitu cha kujivunia..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kuangalia ni hirizi pure hata mm nilikuwa bado siamini, tena alishika kagere pemben yupo kapombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sheria za TFF mchezaji au timu ikijihusisha na ndumba inatakiwa kuchapwa faini, hebu ngoja tusubiri tuone
 
Punguzeni mahaba na ujinga..ile ilikuwa cheni ya kawaida na ilikuwa na msalaba. Halafu unachosema unakielewa lkn!?? Hakugusa mpira kivp tukio la kuvuliwa cheni limetokea dakika 21 kwenda 22. Goli la kwanza la Simba limefungwa dakika 42. Sasa hakugusa vipi na alifunga goli.

Goli la pili la Simba yeye ndo katengeneza dakika ya 47. Ujinga siyo kitu cha kujivunia..!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno mengi lakini Ile itabaki kuwa ni hirizi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20200105-WA0037.jpg
 
Mimi video niliyoiona kagera alikua na hirizi mkononi akampa refa. Sasa sijui aliitoa mfukoni au aliiokota au aliichukua kwa mtu akaenda kumpa. Heb Kama wenzangu mlimuona akiwa anaitoa mfukoni kwake au mahali popote kwenye mwili wake?kwa namna nilivyoona ni vigumu kumhukumu kagere Kama ilikua yake kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What if hata kama ni hirizi ? Au huu ndio muendelezo wa kuona imani za mababu zetu ni za kishenzi na zilizoletwa ndio za kistaarabu ?

Imani ni imani na Imani inajenga confidence... kwahio kuna ubaya gani mtu kuamini alichopewa na mababu zake au watu wake kinamletea bahati ? (Kumbuka hapa ni imani.., hii haina tofauti na anayeweka alama ya msalaba au yule anayebusu ardhi) zote ni imani
 
Mpira wa Bongo ni shidaaaaaaa
- John Terry taping his shinpads up three times,
-Gary Neville wearing the same eau de parfum every day,
-Gazza making sure all the towels in the dressing room hang off the rail symmetrically
 
Back
Top Bottom