Rudia kuangalia ni hirizi pure hata mm nilikuwa bado siamini, tena alishika kagere pemben yupo kapombePunguzeni mahaba na ujinga..ile ilikuwa cheni ya kawaida na ilikuwa na msalaba. Halafu unachosema unakielewa lkn!?? Hakugusa mpira kivp tukio la kuvuliwa cheni limetokea dakika 21 kwenda 22. Goli la kwanza la Simba limefungwa dakika 42. Sasa hakugusa vipi na alifunga goli.
Goli la pili la Simba yeye ndo katengeneza dakika ya 47. Ujinga siyo kitu cha kujivunia..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hadi aibu nimeona mimi😀😂Hiyo ilikuwa cheni na ilikuwa na msalaba..!! Labda kama cheni ni hirizi za kisasa...!! Yaani kweli ujinga ni mzigo....
View attachment 1312902
Sent using Jamii Forums mobile app
Muddy Mahiri Kagere toka link akavaa msalaba? Alisilimu lini?Hiyo ilikuwa cheni na ilikuwa na msalaba..!! Labda kama cheni ni hirizi za kisasa...!! Yaani kweli ujinga ni mzigo....View attachment 1312902
Sent using Jamii Forums mobile app
Maneno mengi lakini Ile itabaki kuwa ni hirizi tuPunguzeni mahaba na ujinga..ile ilikuwa cheni ya kawaida na ilikuwa na msalaba. Halafu unachosema unakielewa lkn!?? Hakugusa mpira kivp tukio la kuvuliwa cheni limetokea dakika 21 kwenda 22. Goli la kwanza la Simba limefungwa dakika 42. Sasa hakugusa vipi na alifunga goli.
Goli la pili la Simba yeye ndo katengeneza dakika ya 47. Ujinga siyo kitu cha kujivunia..!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana Ikabd Kagere atoke maana dawa ilienda na refa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bilashaka wahusika wamekusikiaMashabiki wa simba achen kujifariji
Licha ya kubebwa kote huko lakin hata shukuran hakuna
Mshukurun sana mwana mama rukia
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha nakumbuka ile issue ya mbeya ya yule msenegali ngongotiii. kuna issue ya ulimboka kudakwa nyuma ya golii moroSimba kuwa na power bank nikawaida yao
mchezaji anaingiaje na cheni wakti kulikuwa na ukaguzi kabla ya mechiiiHiyo ilikuwa cheni na ilikuwa na msalaba..!! Labda kama cheni ni hirizi za kisasa...!! Yaani kweli ujinga ni mzigo....
View attachment 1312902
Sent using Jamii Forums mobile app
Km umelipwa na uyo albino mwenzako sawa😂😂
- John Terry taping his shinpads up three times,Mpira wa Bongo ni shidaaaaaaa