najiuliza !!!

najiuliza !!!

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2009
Posts
2,469
Reaction score
284
Hivi Wajomba na mashangazi, ma-braza na masiteri namba niwaulizage....?!!

Hivi, kwa zama zetu hizi za leo na utandagiza huu, wangapi wanaweza rudi kijijini kwenda kusaka demu au mvulana ambae atakuwa mwenzi wake wa maisha???!
 
Back
Top Bottom