Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Umejinu Vizuri SanaTumeumbwa tofauti na ndivyo ilivyo katika kustahimili mambo kume tofautiana
Jibu Ni moja upumbavu Ni mzigo kuliko ujinga.
Una iQ kubwa sana mkuu ndo mambo madogo udeal nayoSababu huwa nini hasa?
Hata wao wanaumia ni vile tu E.I yao ni kubwa.
Una iQ kubwa sana mkuu ndo mambo madogo udeal nayo
Ukimcheka maskini utaambiwa utakuwa kama yeye ila ukimcheka tajir watakuambia huna akili...........IQ kûbwa kivipi Mkûu?
Ukimcheka maskini utaambiwa utakuwa kama yeye ila ukimcheka tajir watakuambia huna akili...........
Ungeandika na umri wako ingesaidia kutoa maoni yaliyo sahihi zaidi
Sidhani! Labda Tuseme Baadhi Yao wanaumia.
Maumivu yanaletwa na Hisia za kujali(Upendo) kutaka upendeleo au kupendwa
View attachment 3100647
Ona huyo hapo aliomba ushauri nkamjibu kama masihara huna akili toka hapo home akanimaindi hatari.... yuko Miami
Robert Heriel Mtibeli sababu ni moja kubwa wewe unajitambua. Faida moja wapo ya kujitambua ni kutosumbuka na kuathiriwa na mawazo au maoni ya wengine juu yako.
Pia unaweza ku control mambo yako ikiwemo mawazo yako pasipo kuingiliwa na wengine au kutegemea validation ya watu wa nje.
Sasa kwa nini wachukulie hiyo ishu personal.
Nani amekudanganya haya? Kwamba wazungu hawaumii?Mfano, wazungu tukitoa maoni yetu juu yao hawaumii. Lakini wao wakitoa maoni yao juu yetu Waafrika wengi wanaumia. Hii inasababishwa na nini?
Kwema Wakuu!
Kuna mambo yananishangazaga sana. Mpaka wakati mwingine najiuliza kwa NINI ipo hivyo.
Mimi ninatabia sijui niite ya ajabu au ya namna gani. Iko hivi;
Mimi sionagi shida mtu akiniita Mjinga, akiniona hamnazo, akiniita hata majina ya namna yoyote Ile. Kwangu sioni shida.
Yaani Maoni ya mtu mwingine au mitazamo ya mtu mwingine kunihusu Mimi sijajua kwa NINI hainiumizi.
Ila Mimi nikitoa maoni yangu kwa watu wengi. Yaani vile ninavyowaona au hata nikiwatania wengi huumia, huona kama ninawadharau, yaani ni kwamba wanajali.
Huwaga najiuliza kwa nini watu hujali na kuumizwa na maoni ya watu wengine.
Yaani mfano Mimi nikuone huna Akili Ati na wewe unaumia ILHALI unajijua unaakili. Hiyo inasababishwa na nini?
Mbona Mimi siumii?
Tabia yangu hiyo ilinifanya nisiwe na majina ya utani. Ila majina ninayojipa ndio yanashika na watu huyatumia.
Lakini pia ninakitu sijui ni karama, nikimtamkia mtu jina mtaani linashika na watu wanalitumia kumuita mtu kwa jina hilo. Hiyo inasababishwa na nini?
Karibuni wakulungwa
Nani amekudanganya haya? Kwamba wazungu hawaumii?
Ni kwanini mnahangaika humu JF kutukana Waafrika kila uchwao?
Chuki?
======
Unasema wazungu hawaumii, tueleze sababu zao za kutokuumia?
Ni wewe jinsi unavyojiona ndani mwako. Ni ishara ya utoshelevu wa ndani pia yawezekana ni ukomavu mkubwa lakini pia malezi. Umelelewa kwenye typical Swahili culture iliyojaa mzaha na mchangamano mkubwa na watu tangu utoto? Ni tabia za extroverts watu wasiojiangalia sana na wenye michangamano mikubwa na watu. Umezoea utani kutania na kutaniwa. Kwa ujumla hii ni personality nzuri sana inakupa urahisi wa kuishi na watu na kuwatawala pia kuwa na amani na watu hata kupendwa pia. Watu wa jinsi hii huonekana wenye bahati, huwa na marafiki wengi na huweza kuwa viongozi bila kuchoshwa au kuudhiwa na maoni anuai ya watu. Hongera kama upo hapo ila kuwa mwangalifu usiwe easygoing na insensitive kwa masuala ya msingi.Kwema Wakuu!
Kuna mambo yananishangazaga sana. Mpaka wakati mwingine najiuliza kwa NINI ipo hivyo.
Mimi ninatabia sijui niite ya ajabu au ya namna gani. Iko hivi;
Mimi sionagi shida mtu akiniita Mjinga, akiniona hamnazo, akiniita hata majina ya namna yoyote Ile. Kwangu sioni shida.
Yaani Maoni ya mtu mwingine au mitazamo ya mtu mwingine kunihusu Mimi sijajua kwa NINI hainiumizi.
Ila Mimi nikitoa maoni yangu kwa watu wengi. Yaani vile ninavyowaona au hata nikiwatania wengi huumia, huona kama ninawadharau, yaani ni kwamba wanajali.
Huwaga najiuliza kwa nini watu hujali na kuumizwa na maoni ya watu wengine.
Yaani mfano Mimi nikuone huna Akili Ati na wewe unaumia ILHALI unajijua unaakili. Hiyo inasababishwa na nini?
Mbona Mimi siumii?
Tabia yangu hiyo ilinifanya nisiwe na majina ya utani. Ila majina ninayojipa ndio yanashika na watu huyatumia.
Lakini pia ninakitu sijui ni karama, nikimtamkia mtu jina mtaani linashika na watu wanalitumia kumuita mtu kwa jina hilo. Hiyo inasababishwa na nini?
Karibuni wakulungwa