yah! ni huyu huyu shansarie.. kiukweli nina kila sababu ya kujivunia kuwa nae.
hongera sana pia, kwa kuwa na mke mwema..
mimi mwenzenu nasikitika sana ameniacha mpenzi wanguuuu nina huzuni sanaaaa
Kuna mtu anaitwa Zahra White! anamuijia watu8 kwa kasi ya ajabu...
Valentina nisifie hata mimi basi ninavyokujali na kukusalimia mara kwa maraEee! Ambao hatuna wakutusifia ngoja tusikilizie kwa wenzetu...
safari njema..
Valentina unamuogopa nani sasa hakuna bastola humu wala bunduki wala hakuna atakayekuufo saro au kukumunissi humuHahaaa...mi naogopa mwenzio