Najiweka pembeni juu ya huu Unafiki na Kuonewa wazi wazi kwa KMC FC ili tu Simba SC yangu itengenezewe Mazingira ya Kimagumashi iwe Mshindi wa Pili

Najiweka pembeni juu ya huu Unafiki na Kuonewa wazi wazi kwa KMC FC ili tu Simba SC yangu itengenezewe Mazingira ya Kimagumashi iwe Mshindi wa Pili

Azama aende cafcc kwa usalama wake
Huku Cafcl hapa wezi kabisa
Acheni mpira wa hivyo, hata Azam wana haki ya kucheza CAFCL mnaposema hawaiwezi unataka kusema Simba na Yanga ziliweza tu pasipo kushiriki mara kwa mara na kutolewa raundi za awali? Kupata uzoefu kuna anzia na kushiriki mara kwa mara, na hata kujifunza hutokana na kushiriki mara kwa mara. Hizo Simba na Yanga ina miaka kibao zinaishia raundi ya awali zilikuwa zinazidiwa hadi na timu za Sudan na Zambia lakini leo hii mnaowaona wengine hawastahili kwenda huko. Acheni hayo mambo
 
Acheni mpira wa hivyo, hata Azam wana haki ya kucheza CAFCL mnaposema hawaiwezi unataka kusema Simba na Yanga ziliweza tu pasipo kushiriki mara kwa mara na kutolewa raundi za awali? Kupata uzoefu kuna anzia na kushiriki mara kwa mara, na hata kujifunza hutokana na kushiriki mara kwa mara. Hizo Simba na Yanga ina miaka kibao zinaishia raundi ya awali zilikuwa zinazidiwa hadi na timu za Sudan na Zambia lakini leo hii mnaowaona wengine hawastahili kwenda huko. Acheni hayo mambo
Azam mpole sana aendelee kutafuta uzoefu huku cafcc afike hata nusu final ajue in and out za African football Kisha ndio akaribishwe kwa wakubwa
Mguu Chuma kiatu Chuma game inapigwa hadi unaona imepigwa viwanja vinawaka moto cheche zinaruka jasho la dam linamwagika
Azam hawezi kabisa imagine kapigwa kwenye muungano kapigwa na kwenye ligi na Simba nyongenyonge
 
Azam mpole sana aendelee kutafuta uzoefu huku cafcc afike hata nusu final ajue in and out za African football Kisha ndio akaribishwe kwa wakubwa
Mguu Chuma kiatu Chuma game inapigwa hadi unaona imepigwa viwanja vinawaka moto cheche zinaruka jasho la dam linamwagika
Azam hawezi kabisa imagine kapigwa kwenye muungano kapigwa na kwenye ligi na Simba nyongenyonge

Azam ni wapole kwenye lipi?
Mara ngapi Yanga na Simba zinaangaika kupata nafasi ya kucheza hatua ya makundi iwe CAFCC au CAFCL na zilikuwa zinashindwa kwanini leo hii Azam wadidimizwe kisa usimba na uyanga? Mafanikio ya siku za hivi karibuni msijione ndio mnastahili kuwanyima wengine haki. Na kwa mentality hizi soka la Tanzania itaishia hivi kwa Simba na Yamga. Viongozi, mashabiki na wadau wengine hawataki kuona timu zingine zinafanikiwa nje ya Simba na Yanga. Wenzetu ni swala la kawaida kuona Pyramids anaenda kucheza klabu bingwa mbele ya Zamalek. Au kule Africa kusina Orlando na Kaizer chief zikishindwa kupata nafasi ya kucheza klabu bingwa. Ila huku sisi tunaakili za kufosi lazima iwe Simba na Yanga utafikiri ziliundwa na kufanikiwa papo hapo kumbe zimeanza kifanikiwa miaka ya 2000
 
Mnajisumbua bure tu na habari zisizo na uhakika. Jana Afisa habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda, akihojiwa na Oscar Oscar ktk kipindi cha jioni cha wasafi, ameelezea kila kitu. Simba wapo sahihi kabisa na hakuna kanuni yoyote waliyokiuka. Taarifa zilitoka mapema na KMC walifikishiwa taarifa na wakakubali. Wala Bodi ya Ligi haikuwahi kupokea taarifa ya kutumika kwa uwanja wa Meja Isamuyo ktk mechi ya tarehe 25 kati ya Simba na KMC.
Huyo Chukuchuku, Afisa habari wa KMC huenda hakupata taarifa kutoka kwa uongozi wake. Nimeshindwa kuweka link ya kipindi cha jana kinachoitwa "Jana na Leo" cha Wasafi. Itafute Youtube.
 
Acheni mpira wa hivyo, hata Azam wana haki ya kucheza CAFCL mnaposema hawaiwezi unataka kusema Simba na Yanga ziliweza tu pasipo kushiriki mara kwa mara na kutolewa raundi za awali? Kupata uzoefu kuna anzia na kushiriki mara kwa mara, na hata kujifunza hutokana na kushiriki mara kwa mara. Hizo Simba na Yanga ina miaka kibao zinaishia raundi ya awali zilikuwa zinazidiwa hadi na timu za Sudan na Zambia lakini leo hii mnaowaona wengine hawastahili kwenda huko. Acheni hayo mambo
Nakupongeza kwa 100% kwa Madini yako haya ila bahata mbaya umepoteza muda Kumuelimisha Mvivu wa Kufikiria.
 
Azam mpole sana aendelee kutafuta uzoefu huku cafcc afike hata nusu final ajue in and out za African football Kisha ndio akaribishwe kwa wakubwa
Mguu Chuma kiatu Chuma game inapigwa hadi unaona imepigwa viwanja vinawaka moto cheche zinaruka jasho la dam linamwagika
Azam hawezi kabisa imagine kapigwa kwenye muungano kapigwa na kwenye ligi na Simba nyongenyonge
Mtu wa Mpira na Mwanamichezo kamwe hawezi kuwa na Mawazo ya Kimasikini kama haya. Bado tuna Safari ndefu.
 
Azam ni wapole kwenye lipi?
Mara ngapi Yanga na Simba zinaangaika kupata nafasi ya kucheza hatua ya makundi iwe CAFCC au CAFCL na zilikuwa zinashindwa kwanini leo hii Azam wadidimizwe kisa usimba na uyanga? Mafanikio ya siku siku za hivi karibuni msiojione ndio mnastahili kuwanyima wengine haki. Na kwa mentality hizi soka la Tanzania itaoshia hivi kwa Simba na Yamga. Viongozi, mashabiki na wadau wengine hawataki kuona timu zingine zinafanikiwa nje ya Simba na Yanga. Wenzetu ni swala la kawaida kuona Pyramids anaenda kucheza klabu bingwa mbele ya Zamalek. Au kule Africa kusina Orlando na Kaizer chief zikishindwa kupata nafasi ya kucheza klabu bingwa. Ila huku sisi tunaakili za kufosi lazima Simba na Yanga utafikiri ziliundwa na kufanukiwa papo hapo kumbe zimeanza kifanikiwa miaka ya 2000
Asante kwa haya Madini yako ila nasikitika unapoteza muda wako Kumuelimisha Masikini na Mvivu wa Kufikiri huyo.
 
Mnajisumbua bure tu na habari zisizo na uhakika. Jana Afisa habari wa Bodi ya Ligi, Karim Boimanda, akihojiwa na Oscar Oscar ktk kipindi cha jioni cha wasafi, ameelezea kila kitu. Simba wapo sahihi kabisa na hakuna kanuni yoyote waliyokiuka. Taarifa zilitoka mapema na KMC walifikishiwa taarifa na wakakubali. Wala Bodi ya Ligi haikuwahi kupokea taarifa ya kutumika kwa uwanja wa Meja Isamuyo ktk mechi ya tarehe 25 kati ya Simba na KMC.
Huyo Chukuchuku, Afisa habari wa KMC huenda hakupata taarifa kutoka kwa uongozi wake. Nimeshindwa kuweka link ya kipindi cha jana kinachoitwa "Jana na Leo" cha Wasafi. Itafute Youtube.
Wapo sahihi ki vipi kanuni zina ruhusu timu kutoa taarifa ya mabadiliko ya uwanja siku saba kabla ya mechi
 
Alli Kamwe aliwaambia vita ya kugombania nafasi ya pili itakuwa kubwa mnoo kuliko vita ya ubingwa, na kweli tunajionea TFF mpaka nayo imeingilia kati kuwabeba makolo🤣🤣🤣
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Azam ni wapole kwenye lipi?
Mara ngapi Yanga na Simba zinaangaika kupata nafasi ya kucheza hatua ya makundi iwe CAFCC au CAFCL na zilikuwa zinashindwa kwanini leo hii Azam wadidimizwe kisa usimba na uyanga? Mafanikio ya siku za hivi karibuni msijione ndio mnastahili kuwanyima wengine haki. Na kwa mentality hizi soka la Tanzania itaishia hivi kwa Simba na Yamga. Viongozi, mashabiki na wadau wengine hawataki kuona timu zingine zinafanikiwa nje ya Simba na Yanga. Wenzetu ni swala la kawaida kuona Pyramids anaenda kucheza klabu bingwa mbele ya Zamalek. Au kule Africa kusina Orlando na Kaizer chief zikishindwa kupata nafasi ya kucheza klabu bingwa. Ila huku sisi tunaakili za kufosi lazima iwe Simba na Yanga utafikiri ziliundwa na kufanikiwa papo hapo kumbe zimeanza kifanikiwa miaka ya 2000
Simba na Yanga zimeanza kufanikiwa miaka ya 70's master hizi team zimepita mawimbi milima mabonde Giza Totoro tope zito kero fujo na Kila aina ya mateso na bado zipo
We umeziona 2000 ila jua hapa 2000 na kuja huku ambapo Mshery Kabwili na Salim wanapata namba miaka ya 80/90 Hawa hata team ya vijana wasingecheza
Ndio maana tunaenda kuazima wamagharibi na wakongo waje kutusaidia kipindi ya kina Dua Saidi ilikuwa hatari
 
Back
Top Bottom