Najiweka wazi...

aaaaah mwalimu usiwe hivyo.. Pigania mshahara wako kwanza.. Ukiwa na hela watakuja wenyewe... Mwl vipi bwanaa BUMIJA
 
Last edited by a moderator:
nataka kujua usiku uanaota ndoto za kuchimbua! kama unaota basi umepata bahati ni mpenzi jini huyo!
 
hili jamaa jinga kweli, unajua nimeenda facebook nimelikuta kweli!!!!!
 
I suspect huyu jamaa sio mwenye hilo jina hapo juu na ameileta hii thread hapa kwa dhumuni la kumchafua muhusika tu. MODs huyu jamaa atoe uthibitisho kuwa ndiye mwenye hilo jina, akishindwa thread ipigwe chini!

hiri rijamaa riongo,rina2chezea aroo
 
We dogo soma umesema uko chuo, hakikisha unafaulu mitihani yako upate kazi nzuri, mambo mengine yote yatajiseti yenyewe. Kutaka kufanya mapenzi kabla ya ndoa ni lambi na chukizo mbele za Mungu. Hakikisha unakuwa na maisha yako kwanza uweze kujimudu huwo ndiyo uanaume na hapo wengi watakukimbilia, lakini hapo ulipo bado hujawa mwanaume bado ni kijana wa kiume tu.
 
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::

Piga nyeto,wanawake kama huna uzoefu nao watasababisha uliwe kichwa.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Jichunguze mwenyewe kipi kimekufanya uwe unakataliwa kisha Jirekebishe
 

we ishia hapo hapo hakuna mtu aliyesoma seminary akawa boya.
 
Unatutia aibu kaka! Jipende wewe kwanza..!!!
 
hahahahh nimezion z hizo picha hope utapata wa type hiyo yako aiseeee nimecheka sana leo
 
Nina wasiwasi na maisha yangu,nina miaka28hadi sasa sina mchumba,Nipo chuo kwa sasa,kila mwanamke nikimtongoza hataki kabisa,nahisi kama vile nina mkosi,naomba dada anayejua kupenda anitoe nuksi,nina mapenzi ila sina pa kuyamwaga,::0712336687:::

Hayatuhusu.
 
I suspect huyu jamaa sio mwenye hilo jina hapo juu na ameileta hii thread hapa kwa dhumuni la kumchafua muhusika tu. MODs huyu jamaa atoe uthibitisho kuwa ndiye mwenye hilo jina, akishindwa thread ipigwe chini!

Tupo pamoja kamanda. Embo MODs wacheki naye isijekuwa zuga tu!
 
Mkuu kuna something wrong hujatuambia wanawake wote hawa umekosa kabisaaa???kwanza wewe unataka wazuri wazuri au wa aina gani??jiweke simple na uwe safi muda wote, piga pamba na vaa vizuri alafu uje kutoa jibu, na fanya mazoezi vile vile
Asisahau kupaka poda na kujipulizia pafyumu ya cobra!! Heheheheheheheheeh!
@Lara1 nadhan atchangamkia hii dili!
 
Umeweka tangazo facebook??

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
haki yako,umekaa kisukuma/kirombo sana

acha mambo ya ajab wewe, wasukuma wakoje? mi mbona msukuma na nilianza kula utam tangu niko form one nikiwa na miaka 14 had leo. Na nina mrembo mzuri sna na warembo wengne wananitaman ila nimejaa kwa sasa sina nafas tena.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…