britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Yaani nikisikia sijui Profesa fulani, halafu nikafuatilia nikakuta ni wa eti Kiswahili, sijui Tashbiha, huwa nashindwa kumpa heshima sawa na Mwanasayansi.
Mungu anibariki nipunguze kuwadharau. Kwa mbali nawaheshimu waliosoma Uchumi na Sheria.
Mungu anibariki nipunguze kuwadharau. Kwa mbali nawaheshimu waliosoma Uchumi na Sheria.