Najizuia sana kuwadharau watu waliosoma masomo ya Art

Najizuia sana kuwadharau watu waliosoma masomo ya Art

Yaani nikisikia sijui Profesa fulani, alafu nikafuatilia nikakuta ni wa eti Kiswahili, sijui Tashbiha, huwa nashindwa kumpa heshima sawa na Mwanasayansi.
Mungu anibariki nipunguze kuwadharau. Kwa mbali nawaheshimu waliosoma Uchumi na Sheria.
Mkuu hebu kwanza tuambie wewe umesoma nini, huenda ulichosoma kika akisi attitude yako towards arts. Ukishafanya hivyo nitajadili.
 
Yaani nikisikia sijui Profesa fulani, alafu nikafuatilia nikakuta ni wa eti Kiswahili, sijui Tashbiha, huwa nashindwa kumpa heshima sawa na Mwanasayansi.

Mungu anibariki nipunguze kuwadharau. Kwa mbali nawaheshimu waliosoma Uchumi na Sheria.
Uache kudharau watu ili nawe usidharauliwe na wazungu....
Vuta nikuvute...
 
Mkuu hebu kwanza tuambie wewe umesoma nini, huenda ulichosoma kika akisi attitude yako towards arts. Ukishafanya hivyo nitajadili.
Mi nimesoma Chemical and Processing Engineering, mwaka 1983 hadi 1986
 
Choices za masomo level ya secondary ziongezeke watoto/vijana wa pursue career wanazozipenda tangia wadogo
Hii itakuwa moja ya ajenda katika vikao vya mapitio. Take it!.

Nililazimishwa science ilhali ubongo wangu ni Mixed Art's, Technology na Communication.
 
Mi nimesoma Chemical and Processing Engineering, mwaka 1983 hadi 1986
Huenda hayo masomo yako yame-kubias. Engineers wachache nilio interact nao kikazi wako very structured kwenye utendaji wao, na arts nyingi ni less structured. Arts ina fields nyingi na zote zina contribution katika maisha yetu. Ukisha fanya kazi zako kawaida hupenda kujipumzisha, jiulize ni fani gani hukuburudisha-mara nyingi na kwa watu wengi ni arts. Mawasiliano-hufanyika kwa kutumia lugha na kwa Tanzania kwa mfano ni kingereza na kiswahili. Kuna miito ya kufundisha kwa kutumia lugha ya kiswahili huko mbeleni-ni hao hao maprofessor wa kiswahili wanao weza kulifanikisha hilo. Umuhimu wa wachumi na wanasheria hauhitaji kuongelewa zaidi. Kama uko kwenye science ambayo inapeleka product zake kwa communities kuelewa soko likoje unahitaji social scientists. Upokeaji wa chanjo ya polio duniani ni mfano mzuri-kule Nigeria mambo yalikwama hadi watu wa sociology and anthropology walipofungua njia ndio madakitari wakafanikiwa.
Nimesoma science na baadae program ya maendeleo ya kilimo (arts), hivyo kwa kiasi nina uwelewa wa kutosha unaonifanya niwathamini watu wa arts, ingawa enzi hizo tuliona wao si kitu na kuwaita nguini.
 
Hii itakuwa moja ya ajenda katika vikao vya mapitio. Take it!.

Nililazimishwa science ilhali ubongo wangu ni Mixed Art's, Technology na Communication.


Vikao vya mapitio ndio nini mkuu?? LOL..kuna waliograduate recently Ma accountant, Economists,Psychologist degrees,wangeweza kupelekwa kwenye shule za Secondary. na kufundisha hayo masomo...mie nashangaa hakuna ajira wakati fursa ndio kama hizo za kufundisha secondary zimejaa ??
 
Huenda hayo masomo yako yame-kubias. Engineers wachache nilio interact nao kikazi wako very structured kwenye utendaji wao, na arts nyingi ni less structured. Arts ina fields nyingi na zote zina contribution katika maisha yetu. Ukisha fanya kazi zako kawaida hupenda kujipumzisha, jiulize ni fani gani hukuburudisha-mara nyingi na kwa watu wengi ni arts. Mawasiliano-hufanyika kwa kutumia lugha na kwa Tanzania kwa mfano ni kingereza na kiswahili. Kuna miito ya kufundisha kwa kutumia lugha ya kiswahili huko mbeleni-ni hao hao maprofessor wa kiswahili wanao weza kulifanikisha hilo. Umuhimu wa wachumi na wanasheria hauhitaji kuongelewa zaidi. Kama uko kwenye science ambayo inapeleka product zake kwa communities kuelewa soko likoje unahitaji social scientists. Upokeaji wa chanjo ya polio duniani ni mfano mzuri-kule Nigeria mambo yalikwama hadi watu wa sociology and anthropology walipofungua njia ndio madakitari wakafanikiwa.
Nimesoma science na baadae program ya maendeleo ya kilimo (arts), hivyo kwa kiasi nina uwelewa wa kutosha unaonifanya niwathamini watu wa arts, ingawa enzi hizo tuliona wao si kitu na kuwaita nguini.
Huwa na kauli moja kwamba Art inaibeba Science kwa 70 asilimia.

Mfano mdogo, Sindano inayotumiwa na Scientist lazima ibuniwe na kuchakatwa na mwana Art's. Ukijua hili hutoweza kudharau jambo, mtu, progression au kitu chochote katika maisha.

Maisha tunategemeana.
 
Vikao vya mapitio ndio nini mkuu?? LOL..kuna waliograduate recently Ma accountant, Economists,Psychologist degrees,wangeweza kupelekwa kwenye shule za Secondary. na kufundisha hayo masomo...mie nashangaa hakuna ajira wakati fursa ndio kama hizo za kufundisha secondary zimejaa ??
Hapo juu ulitanabaisha hoja moja murua kabisa. Kupitia hoja hiyo inaweza kutumika katika mpango mkakati kurahisisha upitishwaji wa suala unalotazamia (FEB/ORG) kama tulivyozungumza awali .......

Hili sakata la ajira ni kituko lakini kwa tafiti niligundua shida sio kuwapatia ajira bali jinsi ya kuwaenda kwa stahiki ndio mahala shida ilipo.
 
Wenzako wameteuliwa kuwa Majaji ww umeishia kufanya kazi halmashauri kama injinia
 
Mimi naona kila mtu yupo sahihi kwenye field yake sioni kama ni sawa kumdharau mwingine
 
Niwe mkweli, honestly speaking, NAMDHARAU SANA ANAEJISIFIA KUSOMA SAYANSI HALAFU HAJAWAHI
KUTENGENEZA HATA KA-MOTA au KA-MTAMBO KOKOTE!!

Kuna KUSOMA SAYANSI na
KUSOMA HISTORIA YA SAYANSI


kibongo bongo WENGI WANASOMA HISTORIA YA SAYANSI

Goite
Yaani we umenena point...! Kasoma sayansi lakini hajui Cha kufanyia. Mi Niko ofisini hapa na Art yangu napiga kazi Kila Mara na visayansi vyao wanakuja kujazana hapa[emoji41][emoji41][emoji41]

Wakija kuanzia January nitawaambia wakafanyie kazi sayansi zao nyumbani kwao.[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nikisikia sijui Profesa fulani, halafu nikafuatilia nikakuta ni wa eti Kiswahili, sijui Tashbiha, huwa nashindwa kumpa heshima sawa na Mwanasayansi.

Mungu anibariki nipunguze kuwadharau. Kwa mbali nawaheshimu waliosoma Uchumi na Sheria.
Kuna nati zitakuwa zimeachia,jisogeze kwa washauri nasihi (artists) utibiwe.
Mwenzako Dr Shika ameanza kupona
 
Mleta mada, umeshaacha kubaguliwa huko ulaya?, hii inaweza kuwa sababu
 
38Mleta mada, umeshaacha kubaguliwa
huko ulaya?, hii inaweza kuwa sababu
 
Newton's Law of mosheni states zat... blah blah blah....

Hao ndio "wanasayansi" wa Tanganyika!

Hivi FaizaFoxy humu Tanganyika tuna wanasayansi?

Ndio hawa mainjinia wasiojua kutengeneza hata barabara ambao kila mara Magufuli anawatandika bakora hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom