Elections 2010 Najua baadhi inawauma lakini huyu ataendelea kuwepo

Elections 2010 Najua baadhi inawauma lakini huyu ataendelea kuwepo

JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
filth. Throw it in a dust bin.
 
Jembejipya
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-offline.png
Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png


Join DateThu Sep 2010
Posts2
Thanks0
Thanked 1 Time in 1 Post
Rep Power0

Ni wale wale! Hawana mchango wowote kwa nchi hii hadi uchaguzi. Wanafikilia kuwaibia watanzania kwa ujanja wa kura. Mwaka huu hatudanganyiki.
 
Huyu inawezekana siyo mgeni hapa ila ka-register upya ili kutoa hilo dukuduku lake, inabidi tumwombe mtaalamu atuangalizie IP Address kama haijajirudia. Lol!
 
Of course, as long as vipofu kama wewe wenye kutafsiri ufisadi kuwa ni mafanikio mkiendelea kuwepo kwanini mlezi wa mafisadi asiwepo?

Halafu upofu wa aina hii sio wa bahati mbaya bali wa kuitakia,aidha kutokana na njaa, kujikomba au ubabaishaji tu. Hivi ni kwa ujira gani unaweza kuwasaliti ndugu zako kule kijijini wanaoishi katika hali mbaya zaidi ya ilivyokuwa zama za ukoloni?

Kweli njaa yako ni muhimu zaidi ya rafiki zako wanaobambikiziwa kesi na polisi kwa vile tu hawana uwezo wa kuhonga wanausalama hao?Unawaambia nini akinamama wanaoahidiwa bajaji na Kikwete ilhali yeye na vigogo wenzie wanatanua kwa mashangingi ya mamilioni ya shilingi?

Ni dhahiri umejiunga leo na JF sio kwa vile ulikuwa huifahamu au huipendi bali ni hayo maagizo kutoka kwa Usalama wa Mafisadi.

Just be careful, usitukane mamba kabla hujavuka mto.


Alafu kuwa mwangalifu na kauli zako, nani ampe nchi huyu jamaa anaishi na mke wa mtu, hana ndoa! kama ameshindwa kufuata maadili tuu ya upadre, maadili ya ndoa atawafundisha nini watanzania? nahisi hata huyu kimada anaeishi nae atamkacha akiingia Ikulu, sina kampeni juu ya ccm bali that is fact, chadema wangemsimamisha mgombea mwingine sawa but alie asi upadre, akaasi ndoa na mbaya zaidi sasayuko na hawara no no
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

Nikweli na hata wao wanakubali mambo ya huyu bwana, tazama hiyo link

"https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/75084-zitto-ccm-imejenga-uchumi-imara-nchini.html
 
Tumgeukie huyo Kikwete wako

JAKAYA MRISHO KIKWETE

1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.

Kama unaongelea wapinzani uchwara, basi wewe una uongozi uchwara.Tafadhali tuambie kafanya nini kwa wapinzani ukweli, na sio wapinzani uchwara. You do not judge a leader's ability by how he works with his easiest challenges, but how does he work with his hardest ones.

2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)

Mafanikio gani ? Takwimu zina tabia ya kuweza kudanganya vizuri tu.Ninaweza kuwaita watu wa Kikwete 100 na kuwauliza maswali ambayo yako favorable kwa Kikwete, wakatoa majibu ya kumpendelea Kikwete na kutoa headline kwamba katika survey fulani Kikwete amekubalika 100%. Mafanikio ya Kikwete zaidi ya mafanikio yakutegemewa kwa wastani wa kawaida yako wapi? Hizo shule zisizo na walimu wala majengo ? Hizo ahadi zisizotimilika ? Hebu tupe hayo mafanikio ya Kikwete tuweze kuyajadili. Inaonekana katika kuwashutumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, wewe ndiye unasema Kikwete ana mafanikio bila takwimu.

3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.

Kikwete majuzi kawapigia kampeni Mramba na Lowassa, watu ambao uchafu wao unajulikana na umeelezwa vya kutosha.Kasema Lowassa hakufanya makosa anachafuliwa tu. Kwa kuwapigia kampeni na kutoa kauli kama hizo kuhusu watu hawa, wengine ambao kesi zao bado ziko mahakamani, Kikwete kashaingilia uhuru wa mahakama . Unawezaje kusema kwamba Kikwete kaachia mahakama imshughulike mtu kama Mramba ? Hivi Kikwete kama ana interest ya kumuona Mramba anashinda ubunge ili CCM ichukue kiti, kweli Kikwete anaweza kuwa serious kwa vita dhidi ya rushwa? Kama alikuwa serious kwa nini alimfanmyia kampeni Mramba ambaye kesi yake iko mahakamani na Lowassa ambaye kajiuzulu katika wingu la rushwa ?

4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.

We have lowered the bar so low now to the extent that almost anybody can be president, and this presidential clout business, to seriously thinking people at least, will not be a distinction by itself. What did he do as president ? Watanzania tuna tatizo la kutoa ofisi ambazo mtu kazishika kama distinction. Ofisi ambazo mtu kazishika si distinction. Ukitaka kutuonyesha distinction tuonyeshe huyo mtu kafanya nini katika ofisi hizo.

5. Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.

CCM haina hata itikadi, much less ilani. Ilani gani ? Mafanikio gani ? Sio wewe uliyelaumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, sasa mbona unataka kumtetea bila takwimu na kuvunja sheria yako mwenyewe ?

murder machete style..........
 
Wana JF, huyu bwana hajui-then hajui kwamba yeye hajui, so Let me conclude that apuuzwe ili tudiscuss issues nyingine za ku-reshufle nchi hii. La kama mtataka tuendelee kumjadilia issue yake-lazma tumpime kwa DNA tujue kama ni ki-tanzania au???

JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
 
Wakati mjadala ukiendelea, naomba kutoa angalizo moja,

Wajemeni hebu tuweni na shukrani sio kwa mazuri tuu, bali hata mabaya, au yale ambayo hatukubaliani nayo.

Hebu angalieni thanks alizopewa mtoa mada
The Following 2 Users Say Thank You to Jembejipya For This Useful Post:

Pasco (Today), TandaleOne (Yesterday)

Na hapa hebu oneni shukrani alizopewa mmoja wa wachangiaji mada.
The Following 19 Users Say Thank You to Kiranga For This Useful Post:

BornTown (Yesterday), Domhome (Yesterday), Eeka Mangi (Yesterday), Gaijin (Yesterday), imma (Yesterday), Iza (Yesterday), Jungumawe (Yesterday), kasimba123 (Today), Makanyaga (Yesterday), MANI (Yesterday), Mpendanchi-2 (Yesterday), Mutu (Yesterday), Mwalimu (Yesterday), Myamba (Yesterday), Negotiator (Yesterday), Pasco (Today), RockSpider (Yesterday), Safari_ni_Safari (Yesterday), Wa Ndima (Yesterday)​

Nashauri, tuige mfano wa Mzee Mwanakijiji kwenye thead zake, hutoa thanks kwa kila mchangiaji, regardless ni pumba gani amemwaga. Yaani tushukuru kwa yote, tumshukuru mleta mchele kwa kutupatia chakula, lakini pia tumshukuru na mleta pumba, maana angalau zitapepetwa kama pumba hii iliyoletwa na Jembejipya na jinsi ilivyopepetwa na Kiranga na kubaki chenga tupu, hivyo next time hilo jembejipya kabla halijaleta tena pumba humu, litaanza kupepeta lenyewe ili kuja kama kuna mchele kabla halijataka kulisha watu chenga.
 
BON

To which planet is this kind of man belong, i dont belive that while the WORLD is moving 4foward there some ppl who are still stagnant and consevative?. Lets THINK of people who are about to look and agree changes..........
Which kind of president who hat mdahalo? Think of DR. SLAA THE PRESIDENT 2010-2015.
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
vipi kagoda?
 

Ni wale wale! Hawana mchango wowote kwa nchi hii hadi uchaguzi. Wanafikilia kuwaibia watanzania kwa ujanja wa kura. Mwaka huu hatudanganyiki.

Asante mkuu kwa kuliona hilo. Nahisi huyu ni rafiki yake Malaria sugu ameamua kujiunga JF ili aongeze nguvu, lakini bahati mbaya wao na jk WAO imeshakula kwao.
 
Kwani wazee.....wanajf wote ni wafuasi wa dr.slaa?manake naona mtu akiwaongelea wagombea wengine mnamvamia balaaa...inakuaje hapo
 
Yeah..ameyafanya hayo yote ktk DUNIA YA KUSADIKIKA au usingizini..walah mbavu zangu wajameni
Wallah mbavu zangu jamaniiiiii, kweli humu kuna wanazi.
i thought hayo yote ni ndani ya majukumu ya raisi?
kama ni hayop tu aliyoyafanya basi kazi ipo kwani hata housegirl wangu akipewa ikulu anaweza fanya zaidi ya hayo. ushabiki umezidi hadi mnachekesha watuuu.
mamaaaa mbuvu zangu wallah
 
Wallah mbavu zangu jamaniiiiii, kweli humu kuna wanazi.
i thought hayo yote ni ndani ya majukumu ya raisi?
kama ni hayop tu aliyoyafanya basi kazi ipo kwani hata housegirl wangu akipewa ikulu anaweza fanya zaidi ya hayo. ushabiki umezidi hadi mnachekesha watuuu.
mamaaaa mbuvu zangu wallah

Kuchanganyikiwa kubaya..L:becky:L
 
sasa una haja gani kutumia lugha mbaya hivyo, mi naona haikusaidii kuongeza kura bali inapunguza bora ubadilishe attitude, mbona hata wewe fisadi tu kwani una uwezo wa kula mara tatu na watanzania wengi tu vijijini na mijini hawana fursa hiyo, huo ni ufisadi waainaingine.

bajaji ni bora kuliko kuikosa kabisa, wote hatuwezi kuwa na shangingi,
 
6. kama vile haitoshi hapakwetu arusha, kumekuwa na traffic ya hatari hii ni dalili uchumi umeongezeka sana kwa watu wananchi wenye kujishughulisha na kutafuta na waliosoma vizuri.

7. Uongozi unatokana na Mungu, huyu JK apewe nafasi ya kumalizia aliyoahidi na kuyapanga.

8. Katika kampeni anaeleza sera zake tu hatukani wala kutaja taja majina ya wapinzani.

9. Nikiongozi pekee amewezakusuluhisha mgogoro wa Zanzibar uliosumbua kwa muda mrefu.
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....

Lol kama kawaida yake alijua HILO NALO NENO.!

lol
 
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....

Tehe eheheheteteheheh.. jamaa msanii sana mi naona badala ya kugombea urais angegombea u-zecomed!!
 
Kwani wazee.....wanajf wote ni wafuasi wa dr.slaa?manake naona mtu akiwaongelea wagombea wengine mnamvamia balaaa...inakuaje hapo

Swala si wafuasi wa nani...
Wengi ni wazalendo wanaojua mbivu na mbichi.. Mtanzania yeyote mwenye uzalendo anayejua na kufuatilia mambo mbalimbali nchini hawezi kamwe kumshabikia kikwete. :eyebrows:
 
Back
Top Bottom