Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,904
- 1,064
filth. Throw it in a dust bin.JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
Of course, as long as vipofu kama wewe wenye kutafsiri ufisadi kuwa ni mafanikio mkiendelea kuwepo kwanini mlezi wa mafisadi asiwepo?
Halafu upofu wa aina hii sio wa bahati mbaya bali wa kuitakia,aidha kutokana na njaa, kujikomba au ubabaishaji tu. Hivi ni kwa ujira gani unaweza kuwasaliti ndugu zako kule kijijini wanaoishi katika hali mbaya zaidi ya ilivyokuwa zama za ukoloni?
Kweli njaa yako ni muhimu zaidi ya rafiki zako wanaobambikiziwa kesi na polisi kwa vile tu hawana uwezo wa kuhonga wanausalama hao?Unawaambia nini akinamama wanaoahidiwa bajaji na Kikwete ilhali yeye na vigogo wenzie wanatanua kwa mashangingi ya mamilioni ya shilingi?
Ni dhahiri umejiunga leo na JF sio kwa vile ulikuwa huifahamu au huipendi bali ni hayo maagizo kutoka kwa Usalama wa Mafisadi.
Just be careful, usitukane mamba kabla hujavuka mto.
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
Tumgeukie huyo Kikwete wako
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
Kama unaongelea wapinzani uchwara, basi wewe una uongozi uchwara.Tafadhali tuambie kafanya nini kwa wapinzani ukweli, na sio wapinzani uchwara. You do not judge a leader's ability by how he works with his easiest challenges, but how does he work with his hardest ones.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
Mafanikio gani ? Takwimu zina tabia ya kuweza kudanganya vizuri tu.Ninaweza kuwaita watu wa Kikwete 100 na kuwauliza maswali ambayo yako favorable kwa Kikwete, wakatoa majibu ya kumpendelea Kikwete na kutoa headline kwamba katika survey fulani Kikwete amekubalika 100%. Mafanikio ya Kikwete zaidi ya mafanikio yakutegemewa kwa wastani wa kawaida yako wapi? Hizo shule zisizo na walimu wala majengo ? Hizo ahadi zisizotimilika ? Hebu tupe hayo mafanikio ya Kikwete tuweze kuyajadili. Inaonekana katika kuwashutumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, wewe ndiye unasema Kikwete ana mafanikio bila takwimu.
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
Kikwete majuzi kawapigia kampeni Mramba na Lowassa, watu ambao uchafu wao unajulikana na umeelezwa vya kutosha.Kasema Lowassa hakufanya makosa anachafuliwa tu. Kwa kuwapigia kampeni na kutoa kauli kama hizo kuhusu watu hawa, wengine ambao kesi zao bado ziko mahakamani, Kikwete kashaingilia uhuru wa mahakama . Unawezaje kusema kwamba Kikwete kaachia mahakama imshughulike mtu kama Mramba ? Hivi Kikwete kama ana interest ya kumuona Mramba anashinda ubunge ili CCM ichukue kiti, kweli Kikwete anaweza kuwa serious kwa vita dhidi ya rushwa? Kama alikuwa serious kwa nini alimfanmyia kampeni Mramba ambaye kesi yake iko mahakamani na Lowassa ambaye kajiuzulu katika wingu la rushwa ?
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
We have lowered the bar so low now to the extent that almost anybody can be president, and this presidential clout business, to seriously thinking people at least, will not be a distinction by itself. What did he do as president ? Watanzania tuna tatizo la kutoa ofisi ambazo mtu kazishika kama distinction. Ofisi ambazo mtu kazishika si distinction. Ukitaka kutuonyesha distinction tuonyeshe huyo mtu kafanya nini katika ofisi hizo.
5. Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
CCM haina hata itikadi, much less ilani. Ilani gani ? Mafanikio gani ? Sio wewe uliyelaumu watu kumpinga Kikwete bila takwimu, sasa mbona unataka kumtetea bila takwimu na kuvunja sheria yako mwenyewe ?
JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
vipi kagoda?JAKAYA MRISHO KIKWETE
1.Mtanzania pekee aliyewafanya wapinzani uchwara walie kuomba uongozi.
2.Mtu pekee ambaye mafanikio yake kimaendeleo yanapingwa kwa porojo.(bila takwimu)
3.Mtu pekee katika Tanzania ya leo aliyekubali kuacha sheria iwashughulike wanadhirifu wa mali za umma.
4.Rais wa Tanzania 2005 - 2015.
5.Aliyegeuza ilani ya CCM na mafanikio yake kuwa kama moto ambao kila mpinzani anaogopa kuukaribia.
Ni wale wale! Hawana mchango wowote kwa nchi hii hadi uchaguzi. Wanafikilia kuwaibia watanzania kwa ujanja wa kura. Mwaka huu hatudanganyiki.
Wallah mbavu zangu jamaniiiiii, kweli humu kuna wanazi.Yeah..ameyafanya hayo yote ktk DUNIA YA KUSADIKIKA au usingizini..walah mbavu zangu wajameni
Wallah mbavu zangu jamaniiiiii, kweli humu kuna wanazi.
i thought hayo yote ni ndani ya majukumu ya raisi?
kama ni hayop tu aliyoyafanya basi kazi ipo kwani hata housegirl wangu akipewa ikulu anaweza fanya zaidi ya hayo. ushabiki umezidi hadi mnachekesha watuuu.
mamaaaa mbuvu zangu wallah
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....
JAKAYA MRISHO KIKWETE a.k.a Msanii,alipokuwa Ludewa ndo katia fora katoka na staili ya kupokea simu kabla ya kupanda jukwaani halafu anawambia wananchi alikuwa anazungumza na balozi wa Marekani, eti Obama kaahidi kuendelea kutoa misaada..tehtehteh ....kumbe alikuwa anaongea peke yake,jamaa msanii yule.. ehe....
Kwani wazee.....wanajf wote ni wafuasi wa dr.slaa?manake naona mtu akiwaongelea wagombea wengine mnamvamia balaaa...inakuaje hapo