Elections 2010 Najua baadhi inawauma lakini huyu ataendelea kuwepo

Hongera sana Kiranga huu mjadala umeufunga barabaraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Asiyekubali kushindwa aeleke jiweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Umesaha!!!! Raisi pekee duniani aliyekataa kura za wafanakazi,
 
Ni rais pekee anayeongoza kwa kuanguka bila kuwa na sababu ya msingi kuliko maraisi wote duniani
 

6. Raisi wa kwanza duniani kuogopa mdahalo
 
7. Rais wa kwanza Tanzania kutumia mke na mtoto wake katika kampeni za kutaka achaguliwe tena
 
kwa kukuunga mkono, nakupa data za wa Iraq walioko katika gereza letu la Arusha, wanaongoza kwa kuwa nakesi za ubakaji, wanaongoza kwa kuwa na kesi za mauaji nawaongoza kwa walio wengi kuukumiwa kunyongwa, na mwisho kabisa tabia zao magereza ni very controversial, hii ina maaanisha kunashida katika vichwa vyao chunguzeni mtapataukweli. je tukotayari kuongozwa na watu wa aina hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…