Najua warala wa mishahara haupo, niijuavyo JF SI KUKAA MUDA WOTE HADI SASA MWEZI WA 7?

Najua warala wa mishahara haupo, niijuavyo JF SI KUKAA MUDA WOTE HADI SASA MWEZI WA 7?

Punguza hasira ili uandike vizuri dear dreamer!!!!
 
sasa wewe ni mbishi waraka upo mimi mwenyewe nimeusoma lakini mishahara na madaraja yamewekwa kama mapendekezo.Mf wamependekeza walimu wa dip waanze na TGTS E Digree F .Dip sayansi wanaanza na E5, degree sayansi wanaanza na F5.Na madaraja yameongezwa hadi ukomo wa J.sasa sijui mapendekezo haya yatafanyiwa kazi lini.

hakuna kitu kama hicho
 
Back
Top Bottom