Mi nashangaa kwa nii amnyime usingizi dem mwenyewe anaonekana mswahili tu anapiga domo, wewe unashughuli zako kwa nini akunyime usingizi?
Akapange nyumba nzima sasa ya nini kukaa kwenye kelele za aina hiyo wakati nyumba za kupanga ziko nyingi?Jamani tusi underestimate kero ya mpangaji mwenza wa kike mswahili anayemtega wa kiume hasa ambaye hajawowa
Basi akapange upande au kinyumba kidogo afanye maisha kuliko kukaa na waswahili wa aina hii ni kujistress tuKama ndio unaanza kazi na huko single nyumba nzima ya nini. Hasikunyime raha wala kukuongezea gharama za kutafuta nyumba. Wewe chuna tena hata salamu usimpe as long as si mwenye nyumba kwa nini akusumbue akili.
Uswahilini bana mt...mara moja kisha atanyamaza
Thanks I love Mpwapwa.
Nikija nikutafute?
Uswahilini bana mt...mara moja kisha atanyamaza
<br /><br />ha ha ha ha ha haaaa halafu wewe nikikushikaa!
<br /><br /><b><i><font size="4"><font color="purple">Dena bana! kumbe dawa ya mwanamke mbea ni kumt omba mara moja and then anapoa!!??</font></font></i></b>
Umeona eeeee kama dena alivosema am mbeto tu atafunga domo lakeha ha ha ha ha haaaa halafu wewe nikikushikaa!