Najuta kuingalia video ya Joshua

Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?

Una hakika ngapi na maelezo hayaendaniView attachment 2845984
Ndio maana kwa akili hizi hata hawa nyau tunawaita ni waislam.
Kwahiyo hii boxer ya combat ndio imefanya dogo rasmi kuwa mwanajeshi wa israel!!!!

Tutakataaje sasa kwamba si kila anayepiga yowe"Allah akbar"ni muislam ikiwa hiyo ni lugha ya kiislam??
 
Punguza unafki haitokusaidia kitu kueneza uongo wale sio hamas
 
Mkuu kwani waarabu hawafanyi unyama kwa wayahudi,,,sema wameshindwa tu kufikia malengo yao ya kuwaua wayahudi dunia nzima kisa sio waislamu.
NB: TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI WA HISTORIA
Historia inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.
 
Historia inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.
Hatuwezi kataa hitler kuwa mkristo,ila tutakataa matendo yake milele kuwa ya kikristo na hatumsifu hata mara moja kwa hilo ni muuaji.

Na wala alipofanya kwa kufanikiwa hatuwezi kupahusisha na ukristo,tutapataja kama moja ya mafanikio ya mikakati yake tu.
 
Kibaraka wa israel kwani nan kafurahi ?
Hamas n magaidi hâta ndani ya Palestine yenyewe,Hamas wamejitwalia dola ndani ya dola halali ya Palestine,yaani yenyewe Yana serikali yao ndani ya serikali ya Palestine ni ugaidi WA Waz Waz,ndio maana Palestine hatuna Shida não,tunalaani hayo magaidi yanayoua Mtz mwenzetu
 
Ardhi gan? MBNA Palestine hapigani ispokuwa Hao magaidi ya Hamas ? Au hujui kuwa kuna tofauti Ya Palestine na Hamas?
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm siichukii dini lkn waarabu hapana aisee nawachukia sana wale viumbe
 
Nikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…