Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?Mkuu kwahiyo ile body camera ni fake????
Duuuh udini mzigo
Una hakika ngapi na maelezo hayaendani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?Mkuu kwahiyo ile body camera ni fake????
Duuuh udini mzigo
Tulia wewe semenya.Yani wewe subiri tu ntakutafuta na nitakupata tu.
Ndio maana kwa akili hizi hata hawa nyau tunawaita ni waislam.Udini upi nimetaja dini? Ile rocket waliodai ililipua hospital hukuona !?
Una hakika ngapi na maelezo hayaendaniView attachment 2845984
Punguza unafki haitokusaidia kitu kueneza uongo wale sio hamasMzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.
Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.
Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.
Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.
R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.
Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
I hate you and wishing you deathPunguza unafki haitokusaidia kitu kueneza uongo wale sio hamas
Historia inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.Mkuu kwani waarabu hawafanyi unyama kwa wayahudi,,,sema wameshindwa tu kufikia malengo yao ya kuwaua wayahudi dunia nzima kisa sio waislamu.
NB: TATIZO LA WAARABU NA WAISLAMU NI UNAFIKI WA HISTORIA
Ukisoma comments za baadhi ya watu walikuwa wakisema dogo ameuliwa na IDF ila hiyo video imewaumbua vibaya sana.Vipi kama huyo dogo angeuliwa wa idf
Hatuwezi kataa hitler kuwa mkristo,ila tutakataa matendo yake milele kuwa ya kikristo na hatumsifu hata mara moja kwa hilo ni muuaji.Historia inatueleza kuwa mtu aliyewaua mayahudi kwa mamilioni ni Hitler na dini yake alikuwa mkristo na si waarabu.
Alafu kuna mwarabu baada ya dogo kupigwa risasi nyingi nyingi anachomoa bisu na kwenda kumchoma choma tena pale chini. I can't imagine what Mollel felt in that death haunt before shot to death😭😭🙌Dogo kauliwa kikatili sana
Kwani huyo dogo Mtanzania alikuwa Vitani!? au ni muisrael!? Wapalestina na Kundi lao la Hamas ni wajinga na Wapuuzi sana....wabongo wameumia sana, nahisi mutaanza kutambua kama vita sio ushabiki wa mpira
Mpuuzi Kweli wewe Dogo kama Hao magaidi wavaa sendoz wenzioNdio ....Kama hujui hata maana ya hilo neno sema hata kweny video za porn wanasema Jesus
MUngu hatoki familia yenu acha ujingaI hate you and wishing you death
Hamas n magaidi hâta ndani ya Palestine yenyewe,Hamas wamejitwalia dola ndani ya dola halali ya Palestine,yaani yenyewe Yana serikali yao ndani ya serikali ya Palestine ni ugaidi WA Waz Waz,ndio maana Palestine hatuna Shida não,tunalaani hayo magaidi yanayoua Mtz mwenzetuKibaraka wa israel kwani nan kafurahi ?
Ardhi gan? MBNA Palestine hapigani ispokuwa Hao magaidi ya Hamas ? Au hujui kuwa kuna tofauti Ya Palestine na Hamas?Hujui kitu bado katika hii Dunia,kwa akili hii utatawaliwa kifikra mpaka siku yako ya kufa,Watu wanapigania ardhi yao kisha wewe unaleta porojo hapa? Wapalestina hawatoki Palestina kama wakimbizi ili kumuachia ardhi yao yahudi bali wataishi kwenye ardhi yao.
Mzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.
Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.
Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.
Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.
R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.
Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
Mm siichukii dini lkn waarabu hapana aisee nawachukia sana wale viumbeMzuka wanajamvi.
Najuta kuingalia hii video ya kaka yetu Joshua Mollel aliyetekwa na kuuwawa kikatili bila huruma huku hawa waliofanya mauaji hayo wakishangilia na kumtukuza Mungu wao.
Imenifanya niwe na trauma na chuki dhidi ya hawa binadamu. Sina uwezo tu ila nawaombea laana na kamwe hawatakuwa huru.
Kuanzia leo sitachanganyikana na Mwarabu yoyote wala kusalimiana hata akiwa Mkristo. Sitanunua bidhaa yoyote inayozalishwa na Mwarabu yoyote.
Sitaenda tena kwenye mabucha yao ya halal na migahawa yao ya mipizza kebab.
Nimejisikia vibaya sana. Furaha yangu sasa hivi Palestina kamwe isiwe huru na haitakuwa huru.
R.I.P Joshua na Clemence wakulima namba moja. Msijali mtalipiziwa kisasi tu.
Damu ya wakulima namba moja Joshua na Clemence haitapotea hivihivi nawahakikishia.
NonsenseNikimuangalia ni Mmaasai na kuna hii kasumba ya watanzania baadhi hasa wa ukanda wa kaskazini kujiita wayahudi weusi au wayahudi waliopotea na kujinasabaisha na israeli, sio ajabu na huyu alikuwa huko. (Sijasema nimewaza