Najuta kumkaribisha demu wangu JF

mamiii kuna kidada kinaitwa Karucee
kinataka kusababisha niwe street child so anatakiwa apelekwe mwabepande akang'olewe kucha na meno awe kama zombie ili akae mbali na my dad Arushaone

Daddy wako kakaa kimya. Acha hizo.
 
Last edited by a moderator:
we hujui hiyo hainaga makombo. Fanya yako kwa muda na wenzio watafanya kwa muda wao. Ukitaka wako pk yako muumbe mwenyewe kama utaweza.!
 
mamiii kuna kidada kinaitwa Karucee
kinataka kusababisha niwe street child so anatakiwa apelekwe mwabepande akang'olewe kucha na meno awe kama zombie ili akae mbali na my dad Arushaone

Meno wachukue tu ile kitu inalambagwa haihitaji meno. Hata kucha. Ila downstairs waniachieeee
 
Last edited by a moderator:
Meno wachukue tu ile kitu inalambagwa haihitaji meno. Hata kucha. Ila downstairs waniachieeee

hahahahahhahaha tena hiyo machine ndo wataing'oa kabisaaaaa ili ukose future investment
 
Endelea mpaka mkutane kwa appointment. Muulize anapenda nini, anapenda mwanaume awe vipi na mengineo. Alafu mkutane kwa appointment alafu mkumbatie mkae muongee. Itasaidia na msigombane.
Sikiliza nyimbo ya pinacolada...itakufundisha.

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…