Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Ila wanadamu...
Umemtoa mbuzi kwenye zizi lake halafu ukamleta kwenye pori la fisi. Ulifikiri fisi watafanya nini?

Kihere here kinaenda kukuponza.
 
Demu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,

Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,

Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.

Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoza, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.
Sio kumsumbua tu tumeishapiga demu wako mwepesi kama maharage ya mbeya😂 Asante kwa kumshawishi bila ivyo wahuni tusingeteleza kama nyoka kwenye majani.
 
Hebu weka ID yake hapa au nitumie DM . Nakupa saa 72 tu atakuambia hata Jf. Kuna kitu nifanye nicheze na saikolojia yake tu
 
Back
Top Bottom