anataka kupindua nnchi
Pole sanaDemu wangu hakuwa hata anajua kama duniani kuna jukwaa la JF,
Nikamshawishi ajiunge na akajiunga, tokea ajiunge wanajukwaa wengi wa kiume wamekuwa wakimsumbua sana kwa pm, wakipiga mistari,
Wengine wamefikia hatua hadi ya kumtumia namba za simu, nikitembelea profile yake nakuta vistors kibao wa kiume.
Kama mnavyojua miluzi mingi humpoteza mbwa, ninahofu anaweza nipotea kwa mtindo huu, kinachonitisha zaidi niliamua kutengeneza ID asiyoijua nami nikaanza kumtongoz, kanitumia namba yake na ninachat naye sana na ameshaonesha dalili zote za kunikubali, mtihani ni kuonana naye, naogopa kuweka appointment halafu kweli atokee, nitazimia.
kila mla chawatu nachake huliwa.
Sasa unachoogopa n nn?? Huyo cha wote hata co wa kumueka kwenye kundi la mpz, ndo maana umemuita dem ana matendo ya kidem dem we kakutane nae mmalizane
Si ushasema ni demu tu sasa kama unataka kujua yaliyomo weka appointment na akija jidai we kama vile umepita hapo kumcheki mshikaji wako one time then muulize anafanya nini hapo!!!????
Usikae sana muage timka yeye akiwepo uone reaction yake then mtumie text kuwa arudi home as umekamilisha zoezi lako!!!!!!!
Halafu fanya yauridhishayo moyo wako sababu ukweli utakuwa nao!!!!!!!
duh pole, ila inaonekana unampenda sana, me nafikiri mueleze ulichogundua na ambavyo umesikitishwa na kukosa kabisa imani nae, then majibu yake baada ya hapo ndo yatakupa kusuka au kunyoa
Pole mkuu kwa maelezo haya hata hivyo inaonyesha mkeo hajatulia,kitendo cha kuwakubalia watu wengi kiasi hicho mpaka na wewe kwenye ID mpya umeshapewa number hapo hesabu maumivu.My take kwa uzi huu kwa vile yumo jamvini ni wazi akiusoma chale zitamcheza na kujijua ni yeye anayesemwa.Labda anaweza kubadilika.mtindo
Swali la msingi sanaAnatumia jina gani mkuu
😕Pole sana kijana.... umesema mlikutania wapi?