Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Mi sijui cha kuangalia sijui nani kaniomba urafiki mi najua kutoa maoni tu hapa mengine sijui,atakaenitumia pm ya kipumbavu sijibu,alaaa
 
Pole sana
 
 
Pole mkuu kwa maelezo haya hata hivyo inaonyesha mkeo hajatulia,kitendo cha kuwakubalia watu wengi kiasi hicho mpaka na wewe kwenye ID mpya umeshapewa number hapo hesabu maumivu.My take kwa uzi huu kwa vile yumo jamvini ni wazi akiusoma chale zitamcheza na kujijua ni yeye anayesemwa.Labda anaweza kubadilika.
 
Post ya 2014 hii, nimeona characters za zamani sana. Sijui hata wapo wapi now!

Hata hivyo social networks zinaweza kukukosesha amani sana hasa unapoona mwenzako yupo busy na watu wa mtandaoni all the time. It happened to me nilichofanya I blocked everything about her and started all over again.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…