Najuta kumkaribisha demu wangu JF

Ila wanadamu...
Umemtoa mbuzi kwenye zizi lake halafu ukamleta kwenye pori la fisi. Ulifikiri fisi watafanya nini?

Kihere here kinaenda kukuponza.
 
Sio kumsumbua tu tumeishapiga demu wako mwepesi kama maharage ya mbeya😂 Asante kwa kumshawishi bila ivyo wahuni tusingeteleza kama nyoka kwenye majani.
 
Hebu weka ID yake hapa au nitumie DM . Nakupa saa 72 tu atakuambia hata Jf. Kuna kitu nifanye nicheze na saikolojia yake tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…