Najuta kumuibia

Najuta kumuibia

Hashpower7113

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
1,353
Reaction score
2,142
Kibaka aeleza vitu vilivyokuwa kwenye pochi ya MWL. Alivyompora, 1: majina ya wapiga kelele darasani. 2: vipeperushi vya mgomo 3:markingscheme 4: list ya madeni anayodaiwa 5: andalio la somo 6: majina ya watoto waliowahi namba asubuh 7: list ya watoto waliokopa ubuyu na visheti 8: kalamu 2 za speedo nyeusi na nyekundu 9: makaratasi ya test 10: list ya watoto waliotoroka 11: Tshs 500 ya nauli, basi kibaka aliapa hatorudia tena kumuibia MWL. Kwani anajuta kupoteza muda wake

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Bado kitu muhimu cha mwalimu hakukiona
 
Back
Top Bottom